Nimekataa na nitaendelea kukataa kuchomwa sindano ya kalio na wauguzi wa kike wadogo kiumri

Nimekataa na nitaendelea kukataa kuchomwa sindano ya kalio na wauguzi wa kike wadogo kiumri

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Sekta ya Afya inabidi ijitafakari sana, ebu fikiria yaani mimi kama mimi baharia Wadiz nichomwe sindano na kabinti kadogo ka nurse umri 20 yrs, hivi hii ni haki hako kamanzi ka hio age kanishike tako, hio hapana, it can't be.

I think age has to be customized with service delivery, huyo nurse dogo dogo nimemchana makavu japo nilikuwa nshalipa pesa nimewaambia hio pesa nimesamehe siitaki nikasepa.

Nimewaacha hawaamini ila ndio hivyo nimesepa mazima.

It is what it is.

Wadiz
 
Ulifata umri au huduma?

Muhimu ni qualifications za nurse, umri wake unahusika vipi hapo?

By the way, kupanga ni kuchagua.
 
We sema tu ni muoga wasindano usituletee upuuzi nakujifananisha na ubaharia!,baharia unaogopa kushikwa tako na mdada Tena binti!,hana hata madhara kwako nyie ndio mnaletaga changamoto za hovyohovyo kwenye kazi za watu!.
Sasa nenda hospitali zenye wachoma sindano mibaba ikuchome ufurahie!
 
Back
Top Bottom