.....wameweza kununuliwa kwa kanga,tisheti na vilemba vya ccm vilivyomwagwa kama njugu siku mbili kabla ya uchaguzi.Aidha matokeo ya hapa yalijulikana mapema miezi miwili nyuma au mitatu pale ambapo wana kagera walipouza shahada zao kwa bei ya kilo moja ya nyama(steki).
Kazi ya MB si kutoa misaada atakapo kwa pesa zake au rasilimali zake bali ni kuwashirikisha wananchi wajiletee maendeleo, kuwawakilisha ktk utunzi na urekebishaji wa sheria na kuhakikisha kodi wanazotoa wananchi zinawarudia kwa huduma bora za jamii ikiwemo miundombinu.
:smile-big::A S angry:bukoba ni strongpoint ya CUF na si Chadema,hivyo uongozi wa chadema inabidi uweke nguvu za ziada bukoba/kagera
Matokeo ya uchaguzi yaliyowapa ushindi Wabunge wa ccm mkoani Kagera na hasa kagasheki yamenihuzunisha sana ikizingatiwa huko ndo nyumbani. Wale wa kwetu, kuendelea na ccm bila wapinzani si ni sawa na kukataa maendeleo? Tujipangeje 2015?