Wakuu jana jioni nilipokua narejea home gafla nilikutana na nyoka Koboko kafura katikati ya njia uku kapanua kichwa kimekua kipana kama upawa.
Ghafla akanitokea nduki anakimbia mbaya mbovu uwezi amini tumezungushana mtaani zaidi ya masaa 2 ndio nikampoteza maboya na kurudi home
Koboko / black mamba avimbishi kichwa. Pia koboko anaspeed kubwa na sumu kali. Anaweza kukugonga mara10 ktk sec10.
Kama kweli alikuwa koboko usingekuwepo leo hii. black mamba co nyoka wa kawaida/kibisa
Moja ya nyoka wenye hatari sana. Tanzania wapo wengi sehemu gani?
Wakuu jana jioni nilipokua narejea home gafla nilikutana na nyoka Koboko kafura katikati ya njia uku kapanua kichwa kimekua kipana kama upawa.
Ghafla akanitokea nduki anakimbia mbaya mbovu uwezi amini tumezungushana mtaani zaidi ya masaa 2 ndio nikampoteza maboya na kurudi home
Mkuu ulikuwa unaigiza Ze Comedy na huyo nyoka au? Kumbuka koboko hajazoea mitaa, yeye ukaa porini tu na sehemu za vichaka pia huwa akimbizi watu kwa mapenzi. Yeye ukiingia kwenye anga zake atakufokea ila akibanwa ndipo atajaribu kukugonga kuokoa maisha yake na kukupa wewe onyo japo itakuwa bahati kwako kuishi na kusimulia maana sumu yake akikugonga tu si rahisi kuishi zaidi ya dakika 7 kama hujapata first aid. Huyo koboko wako alikuwa Joti au Masanja Mkandamizaji?
Moja ya nyoka wenye hatari sana. Tanzania wapo wengi sehemu gani?
Wakuu jana jioni nilipokua narejea home gafla nilikutana na nyoka Koboko kafura katikati ya njia uku kapanua kichwa kimekua kipana kama upawa.
Ghafla akanitokea nduki anakimbia mbaya mbovu uwezi amini tumezungushana mtaani zaidi ya masaa 2 ndio nikampoteza maboya na kurudi home
Koboko hapanui kichwa huyo ni cobra.....
Hahahaa mkuu umenivunja mbavu na hilo swali ulilomalizia
Wazazi wetu shikamoo....