Nimekimbizwa na nyoka aina ya Koboko


K 4 LIFE!!! which K?
 
Last edited by a moderator:


Daah! jf raha sana
 
kwa hyo ndugu umeshaamua kuniita mm nyoka kwa kua nilikukimbiza ili unilipe deni langu poa bhn ila hongera bhn una speed hataree mkuu kama ningekukamata ningekuvua kila kitu
 
Endelea kutoa nyuzi type hii maana umeshajitanabaisha akili yako ilivyo na unapata views nyingi kwelikweli watu wakiona nyuzi zako celeb wa mikumi! wanafungua ili wapunguze stress! hongera usain bolt wa mikumi!
 
Simulizi ya ndoto hiyo neda kwa mashehe wakakutafsilie
 
hakuwa koboko huyo, ulivuta bange kabla hujala
 
Hakuwa koboko huyo, ulivuta bange ya singida bila kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…