Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
AsanteKila la kheri
Njema sana hasa ya Leo.AminaSabato Njema.
Haina haja mkuu lakini nimeamini Mungu ni mkuu hamuachi mwanaye mpendwa apotee.Mbona brief mno elezea kwa kina ili wengi tujifunze
Amina Mungu akubariki.Hongera kwa kulijua hilo, ila hayo ni madhara yakuizoea mno biblia kama gazet la udaku. Jitahidi kutofautisha kati ya alivyoviumba Mungu na Mungu mwenyewe.
Hakika nimeona na nimesadiki.Biblia ni Neno la Mungu. Usijaribu kubishana na Mungu. NI HATARI SANA!
Mungu akuongoze na kukutangulia. Twende tukasali Kurasini SDA Mdogo wanguMimi ni member ambaye sina umaarufu wowote hapa JF.Lakini siku chache zilizopita nimekuwa mpinzani mkubwa wa vitabu vya dini hasahasa Biblia nikidai ni kitabu cha uongo na cha kufikirika.
Lakini Jana usiku Mwenyezi Mungu Mungu kanionyesha muujiza kuhusu Biblia ndio maana nimekuja hapa kuomba msamaha na kukoma kuikosoa Biblia.
Hakika Mungu ni mkuu na vitabu vyake alivyotuachia ni vya ukweli.Nimezaliwa kwenye familia ya kisabato mara ya mwisho kwenda kanisani ilikuwa kipindi niko form three ila Leo naenda.
Mungu awabariki.
Mungu yupi? Yule aliyepigiliwa misumari?Biblia ni Neno la Mungu. Usijaribu kubishana na Mungu. NI HATARI SANA!
Wewe unamjua yupi na yupi. Maana miungu ni mingi, ila Mungu wa kweli ni mmoja, naye Ndiye YEHOVA YWHW, Alfa na Omega, NIKO AMBAYE NIKO, Mungu wa miungu Bwana wa mabwana, Mfalme wa wafalme,Mungu yupi? Yule aliyepigiliwa misumari?