Nimekoma kutafuta mademu mitandaon

Nimekoma kutafuta mademu mitandaon

Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu

Nilikuwa ni mbabe wa kutafuta mademu mitandaon lakin sasa nimekoma

Haata baadh ya watu waliokuwa wakinishaur kuwa niachane na wanawake wa mitandaon lakin niliwapuuza sikuwasikia

Sasa leo niko hapa dar maeneo ya sinza si nikakutana na demu mmoja ambaye tulikuwa tumepanga kuonana toka jana

Demu huyo nilijuana naye huko inster, kwa inster huwa anapost picha kali kinoma yaan ni mkali balaa lakin kumbe ni tofaut kabisa na jinsi alivyo

Sasa si leo nimekutana naye ebhana ee yaan hata sijamuelewa kabisa sijui ni mbibi sijui ni mzee yaan hata hasomek aisee

Kwanza ana rangi mbili kama piliton alikuwa kavaa kitop aisee ana kwapa jeus kinoma mazee

Nimekoma kabisa sitarudua tena kutafuta mademu mitandaon

LONDON BABY
vipi, mkeo aliyekusemea ufukuzwe kazi ili akutese bado unaye? acheni kujaza pumba hapa jf. sijui ninyi ni majini au watu hata huwa sielewi.
 
Ila unataka ugundue nini?
Hapana shemu wangu hiki kisa ni cha kweli leo nilienda kukutana na msichana wa mtandaon nilivyo mkuta na jinsi alivyokuwaga ananitumia picha ni vitu viwili tofaut kabisa

Lakin usimwambie wife mbitiyaza
 
vipi, mkeo aliyekusemea ufukuzwe kazi ili akutese bado unaye? acheni kujaza pumba hapa jf. sijui ninyi ni majini au watu hata huwa sielewi.
Bado niko naye mkuu si unajua tena yule ndo wife
 
Back
Top Bottom