Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndivyo tulivyo wa kwetu.Kila siku nyimbo ni hizi hizi, yaani hata hamjuagi kujifunza aiseee.
Basi kuna kauli mbiu inasema "Mpenda Sifa Haogopi Matumizi"Kweli mkuu lakin mimi huwa najal kwanza muonekano wa nje
Wa kwetu hata mi naona ujue.ndivyo tulivyo wa kwetu.
Basi ni kumwitueneo fulani kusini mwa Tanzania
ndio tulipofika. it's so sad wa kwetuWa kwetu hata mi naona ujue.
Mbwa kala mbwaHata yeye alikushangaa hakutegemea kukukuta kama ulivyo! si mtoto si kijana, si mzeeee yaani hueleweki eleweki..
vipi, mkeo aliyekusemea ufukuzwe kazi ili akutese bado unaye? acheni kujaza pumba hapa jf. sijui ninyi ni majini au watu hata huwa sielewi.Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu
Nilikuwa ni mbabe wa kutafuta mademu mitandaon lakin sasa nimekoma
Haata baadh ya watu waliokuwa wakinishaur kuwa niachane na wanawake wa mitandaon lakin niliwapuuza sikuwasikia
Sasa leo niko hapa dar maeneo ya sinza si nikakutana na demu mmoja ambaye tulikuwa tumepanga kuonana toka jana
Demu huyo nilijuana naye huko inster, kwa inster huwa anapost picha kali kinoma yaan ni mkali balaa lakin kumbe ni tofaut kabisa na jinsi alivyo
Sasa si leo nimekutana naye ebhana ee yaan hata sijamuelewa kabisa sijui ni mbibi sijui ni mzee yaan hata hasomek aisee
Kwanza ana rangi mbili kama piliton alikuwa kavaa kitop aisee ana kwapa jeus kinoma mazee
Nimekoma kabisa sitarudua tena kutafuta mademu mitandaon
LONDON BABY
Ila unataka ugundue nini?Hapana shemu