Nimekoma, yule mwanamke ni chuma ulete

Kaka una hakika anasoma udsm huyu?

Ukute mwenzio yuko kitunda matembele huko ameajiriwa kwa mama ntilie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiuhalisia wanafunzi wengi wa chuo hawanaga ujasiri wa kuomba laki mbili kwa wakati mmoja
Wapoo sanaaa sema wanategemea na huyo mtu alokua nae yukojee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Afu cjui kwann watu wanapenda kusema wanasoma UDSM. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao hawavijui vyuo vingine kwasababu si wanafunzi na hawana lolote walijualo kuhusu Vyuo, wao wanaamini Chuo ni UDSM pekee, ndiomaana kimewakaa akilini.

Malaya wengi kutoka DAR wanawakamata wanaume wa mikoani kwa kigezo cha mwanafunzi wa UDSM, maajabu ukiwauliza wanasomea course gani hapo ndipo KASHESHE INAPOANZIA[emoji23][emoji23] utasikia mimi dactariii mala ooh mimi nyokonyoko nyingi[emoji23][emoji23].
 
Kwanzia ulipoonana nae ukiwa umevaa t-shirt ya maua ua pale sokoni alafu before chochote akaomba hela ukam-clear bila shida, ilipofika dinner ya pamoja ukaagiza bugger yeye akaagiza ugali, Ulipomualika gheto alafu akatoka bilabila, Anakuambia anaenda Dsm ukam-clear 200k, Kafika tena ukam-clear 50k basi ni dhahiri huyu dem hadi wa leo anakuonaga boya.
 
Afu cjui kwann watu wanapenda kusema wanasoma UDSM. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Account za Facebook za mademu wote , awe demu Pori au town wote udsm , Sema demu aliyekutana naye mwanetu sio wa chuo huyo , ni mdangaji mademu wa chuo wachache Sana wa kuomba 200K per once
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mdada m1 niliwahi mkamata uongo wake, eti alisema anasoma UDSM nkamuuliza course gani, eti Daktari wa Mifugo.

Nilicheka ile siku km chiziii wallah.
 
Laki mbili chap chap daah mwanetu kapigwa sio poa
 
Account za Facebook za mademu wote , awe demu Pori au town wote udsm , Sema demu aliyekutana naye mwanetu sio wa chuo huyo , ni mdangaji mademu wa chuo wachache Sana wa kuomba 200K per once
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii. Yaan wee acha tyuuh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mdada m1 niliwahi mkamata uongo wake, eti alisema anasoma UDSM nkamuuliza course gani, eti Daktari wa Mifugo.

Nilicheka ile siku km chiziii wallah.
Huyo tapeli tu, tena watu wa hiyo sampuri huwa hata hawajui location ya chuo[emoji23][emoji23][emoji23] kuna mwingine huku kaulizwa coz gan, kajibu PCM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
noma sana nimekubali
 
Umesema ulimpa laki mbili demu ? Yaani elfu kumi kumi 20. Elf tano tano arobaini. Zote ukampa mwanamk tena kipind unampa hata hujagonga. Laki mbili kabisa...?!!! Pole sana.
 
Ok wambulu na wairaq ni wale wale ila wanapenda kujiita wairaq maana neno wambulu maana ake ni (wapenda mb*l*) tafsiri isiyo rasmi na hii walipewa na jamii inayowazunguka kwa kuona mabinti wao wanavyopenda abdalah kichwa wazi
 
Ok wambulu na wairaq ni wale wale ila wanapenda kujiita wairaq maana neno wambulu maana ake ni (wapenda mb*l*) tafsiri isiyo rasmi na hii walipewa na jamii inayowazunguka kwa kuona mabinti wao wanavyopenda abdalah kichwa wazi
Aiss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…