Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Na ndio nachohisi kwa kweli japo najipamoyo sio vuzi....isiwe ulikuwa anachambia maji ya kipikia ndio vuzi limeingia sina amaniItakuwa ni vuzi
Ptuuuiu siku yangu imeharibika mnoNywele za vuzi hizo bila shaka
Acha mkuu dunia hii INA mengiAhahahah
ivi ile pesa ulisharudisha kwa mumeo.....tuanzie hapo kwanzaAsubuhi hii nimeenda kununua vitafunwa vya kunywea Chai yaliyonifika si madogo kati kati ya kitafunwa nimekutana na nywele.Hapa nimekaa nawaza nywele hii ni nywele ya wapi kichwani,kwapani ,au ni vuzi aiseee mbona tunakula vitu vya ajabu bila kujijua.
Mkakati wangu mpya kuanzia Leo sitatumia vitafunio vinavyouzwa mabarabarani nitatumia mkate au viazi,mihogo nachemsha mwenyewe .Siku yangu ishaharibika