Nimekomaa, nimekoma mwenzenu

Nimekomaa, nimekoma mwenzenu

Mkuu,sisi binadamu tunakula vitu vingi sana vichafu ila Mungu tu ndye anayetupigania!
 
Nmezidi uvivu wanawake wa karne hii!waambie na wanzako!
 
Kinachonisikitisha ni kuwa mtoa mada ni mdada....vitafunwa(chapati,andazi,kitumbua, kalimati,n.k) anaenda kupanga foleni kununua....!

Acheni tu waoaji waendeleze mgomo wao....! Kwanza MADUDE YAMEKAKAMAA
 
Asubuhi hii nimeenda kununua vitafunwa vya kunywea Chai yaliyonifika si madogo kati kati ya kitafunwa nimekutana na nywele.Hapa nimekaa nawaza nywele hii ni nywele ya wapi kichwani,kwapani ,au ni vuzi aiseee mbona tunakula vitu vya ajabu bila kujijua.

Mkakati wangu mpya kuanzia Leo sitatumia vitafunio vinavyouzwa mabarabarani nitatumia mkate au viazi,mihogo nachemsha mwenyewe .Siku yangu ishaharibika
ivi ile pesa ulisharudisha kwa mumeo.....tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom