kalooo son of Kambarage
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 275
- 181
Jamani nimekopa pesa kwenye bank ya ABC lakini nakatwa miezi miwili bila kuingiziwa pesa kwenye akaunti yangu na bado wananipga kalenda et sijatmiza vigezo alafu bado nakatwa.Wanajamvi mwenye uelewa naomba anishauri nifanyeje mm in mtumishi wa umma.