Nimekopa ABC, wameanza kunikata deni hata kabla sijaingiziwa hela

Nimekopa ABC, wameanza kunikata deni hata kabla sijaingiziwa hela

Mkuu pole Sana, hata Mimi napitia changamoto hiyp hiyo kwenye Financial Institution moja hv, lakini Mimi nimewaambia ikifika kesho bila kupata majibu Basi manager wao wa Wilaya nitamuweka korokoroni maana uwezo huo ninao, wakati huo nimepanga niingie gharama nimlipe Askari asafiri kwenda Dar kunikamatia mkurugenzi Mtendaji nataka amlete huku mpakani nilipo maana ndipo utapeli huo umefanyika!
We ni nouma mkuu
 
Jamani nimekopa pesa kwenye bank ya ABC lakini nakatwa miezi miwili bila kuingiziwa pesa kwenye akaunti yangu na bado wananipga kalenda et sijatmiza vigezo alafu bado nakatwa.Wanajamvi mwenye uelewa naomba anishauri nifanyeje mm in mtumishi wa umma.
aise huo uzembe asa wanakata nini kama hujatimiza masharti, acha kulala kawakabe shingo hao
 
Nilishawahi pitia hili sekeseke. Hawa jamaa mbuzi kweli. Yaani nilienda kusitisha wasinipe hio hela ila warudishe fedha walizokata. Jioni nikaona wameweka hela.
Swali. Mm umeshaanza kunikata miezi miwili leo unanikopesha na riba juu at the same time unahela yangu ya miezi miwili.
Taasisi za kifedha bongo ni uozo mkubwa kwa baadhi yao.
 
Jamani nimekopa pesa kwenye bank ya ABC lakini nakatwa miezi miwili bila kuingiziwa pesa kwenye akaunti yangu na bado wananipga kalenda et sijatmiza vigezo alafu bado nakatwa.Wanajamvi mwenye uelewa naomba anishauri nifanyeje mm in mtumishi wa umma.
Umeanza kukatwa marejesho au isije kuta umeakatwa garama za kuprocess mkopo?
 
Back
Top Bottom