Nimekopa ABC, wameanza kunikata deni hata kabla sijaingiziwa hela

kalooo son of Kambarage

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2016
Posts
275
Reaction score
181
Jamani nimekopa pesa kwenye bank ya ABC lakini nakatwa miezi miwili bila kuingiziwa pesa kwenye akaunti yangu na bado wananipga kalenda et sijatmiza vigezo alafu bado nakatwa.Wanajamvi mwenye uelewa naomba anishauri nifanyeje mm in mtumishi wa umma.
 
Jamani nimekopa pesa kwenye bank ya ABC lakini nakatwa miezi miwili bila kuingiziwa pesa kwenye akaunti yangu na bado wananipga kalenda et sijatmiza vigezo alafu bado nakatwa.Wanajamvi mwenye uelewa naomba anishauri nifanyeje mm in mtumishi wa umma.
NBC au ABC?
Kuna uwezekano ukabatilisha hilo swala la mkopo au shida imekubana?
Nahisi watakuwa wasumbufu, na pia kaonane na meneja wakurudishie pesa wanazokata.
Najua unapokopwa, unapita mwezi mzima baada ya kupewa hizo pesa, ndio unaanza kukatwa.
Sasa huna vigezo, hujapewa pesa, wanaweza aje ku activate makato ya marudisho ya mkopo?
 
Mkuu taratibu za kusitisha ni zpi?
 
Mkuu taratibu za kusitisha ni zpi?
Kama hawajakupa pesa na wanadai kuna taratibu hazijakamilika, ni kuwaambia hutaki tena mkopo. Ingekuwa wamekupa pesa, pengine wangetaka uwalipe kiasi fulani na riba yao, lakini hujapewa pesa yoyote.
 
ABC mkuu
 
Kama hawajakupa pesa na wanadai kuna taratibu hazijakamilika, ni kuwaambia hutaki tena mkopo. Ingekuwa wamekupa pesa, pengine wangetaka uwalipe kiasi fulani na riba yao, lakini hujapewa pesa yoyote.
ABC mkuu ,nipe taratibu za kusitisha
 
Jamani nimekopa pesa kwenye bank ya ABC lakini nakatwa miezi miwili bila kuingiziwa pesa kwenye akaunti yangu na bado wananipga kalenda et sijatmiza vigezo alafu bado nakatwa.Wanajamvi mwenye uelewa naomba anishauri nifanyeje mm in mtumishi wa umma.
Ndugu usiwe na haraka wala usihofu makato yako yote yapo documented, cha msingi waambie wakutumie au nenda wakueleze kwa nini wanakukata kabla ya kutimiza masherti yote, pia inaonekana hata mkataba wa mkopo hukusaini hapo nikama wanakuhifadhia fedha zako zote zitarudi na faida juu.
 
Kama hawajakupa pesa na wanadai kuna taratibu hazijakamilika, ni kuwaambia hutaki tena mkopo. Ingekuwa wamekupa pesa, pengine wangetaka uwalipe kiasi fulani na riba yao, lakini hujapewa pesa yoyote.
hapa si anaweza hata kuwafungulia mashitaka na akadai gawio kutokana na fedha ambayo wamemkata/kumwibia?
 
Reactions: Auz
Hicho kipengele sijakiona mkuu kipo kisemacho kuwa mkataba utatambulika rasmi tu pale ambapo nkijakuingiziwa hela nje na hapo hautambuliki.
Wawahi na mapema, huu mwanzo sio mzuri.
 
Mkuu pole Sana, hata Mimi napitia changamoto hiyp hiyo kwenye Financial Institution moja hv, lakini Mimi nimewaambia ikifika kesho bila kupata majibu Basi manager wao wa Wilaya nitamuweka korokoroni maana uwezo huo ninao, wakati huo nimepanga niingie gharama nimlipe Askari asafiri kwenda Dar kunikamatia mkurugenzi Mtendaji nataka amlete huku mpakani nilipo maana ndipo utapeli huo umefanyika!
 
Pole sana,jaribu kuonana na meneja wa tawi utalipatia ufumbuzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…