We ni nouma mkuuMkuu pole Sana, hata Mimi napitia changamoto hiyp hiyo kwenye Financial Institution moja hv, lakini Mimi nimewaambia ikifika kesho bila kupata majibu Basi manager wao wa Wilaya nitamuweka korokoroni maana uwezo huo ninao, wakati huo nimepanga niingie gharama nimlipe Askari asafiri kwenda Dar kunikamatia mkurugenzi Mtendaji nataka amlete huku mpakani nilipo maana ndipo utapeli huo umefanyika!
Mkuu wanakera, yaani fedha hawajakupa halafu salio lako wanafyeka. Huu kwangu ni uhuni Sasa dawa ya mtu anayecheza rafu nawe lazima umchezee rafu.We ni nouma mkuu
aise huo uzembe asa wanakata nini kama hujatimiza masharti, acha kulala kawakabe shingo haoJamani nimekopa pesa kwenye bank ya ABC lakini nakatwa miezi miwili bila kuingiziwa pesa kwenye akaunti yangu na bado wananipga kalenda et sijatmiza vigezo alafu bado nakatwa.Wanajamvi mwenye uelewa naomba anishauri nifanyeje mm in mtumishi wa umma.
Umeanza kukatwa marejesho au isije kuta umeakatwa garama za kuprocess mkopo?Jamani nimekopa pesa kwenye bank ya ABC lakini nakatwa miezi miwili bila kuingiziwa pesa kwenye akaunti yangu na bado wananipga kalenda et sijatmiza vigezo alafu bado nakatwa.Wanajamvi mwenye uelewa naomba anishauri nifanyeje mm in mtumishi wa umma.
Taratibu ya kwanza ni kubadilisha account na mshahara wako uingie bank nyengine na kama kuna hela zihamishe watakuwa hawana cha kukata.Mkuu taratibu za kusitisha ni zpi?