hazard Don
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,203
- 1,007
- Thread starter
-
- #21
Mkuu watu wanaomiliki mfumo hufanya wayatakayo.Unaonekana mnyonge sana, Mimi huo ujinga hawawezi kunifanyia.
Mkuu lengo la chanjo ni nini Sasa,Ndio yawezakua lazima,
Sasa tunaingia kwenye Zama za "NEW NORMAL" zikishapita hizi ulimwengu wetu utakua unadumbukia Sasa kwenye "NEW WORLD ORDER"
Ni Nini New Normal?
Hiki Ni kipindi ambacho suala la Corona litakua Ni kitu Cha kawaida "Normal"
Na kwa mujibu wa taratibu Kila taasisi itakua imeweka ulazima wa Kila mpata huduma kuchanja then kwa ugumu huo Kila mtu atalazimika kuchanja kwa muda wake na Kila mtu ataona Ni kitu Cha kawaida "normal" na maisha yataendelea
Ukirejea baadhi ya hotuba za George Bush, hasa hutuba yake maarufu ya AMERICA IS UNDER ATTACK, Baada ya shambulio la September 11
Bush alibainisha kwamba NEW WORD ORDER Ni suala la lazima
Na akamalizia kuionya dunia kwamba kwenye harakati zao "you will choose to be in our side... Or the side of the terrors!
Akimaanisha kwamba dunia lazima ichague ama kua upande wa wamarekani ama kua upande wa magaidi
Kwa hiyo kiongozi tulia uchanjwe, tupo kwenye Zama za new normal kuelekea N.W.O
Naam!Mkuu lengo la chanjo ni nini Sasa,
na hiyo new World Order ni nini?
Nchi nyingi ndio hivyo, ni hiari, lkn wanaweka mazingira magumu kwa asie na chanjo, hivyo kukulazimisha kuchanja. Mf. Kuingia sehemu uonyeshe chanjo au Negative test isio zidi 6 hrs. Hii test sio Bure.ni hiari yenye lazima ndani yake.
Kevin nash na hogan kitambo sanaN.W.O
Mh! Mbona hatari!Kama unampango wa kuingia nchini marekani au kusafiri nje ya nje, chanjo ni lazima lakini kama route zako ni mbagala, kibada, gongo la mboto. chanjo nia hiari.
Hakuna kitu kama hicho, nadhani umeamua tu kusema uongo! Taja jina la kituo hicho ili watu walifuatilie.Kwa mwenye kufahamu juu ya Hil naomba anifahamishe.
Nimekosa huduma moja ya kituo Cha Afya hapa nchini ,sababu sijachoma Chanjo ya Covid.
Je, Hawa watoa huduma wamepata wapi jeuri ya kupinga kauli ya mh.Rais
ile kauli ya kuwa Chanjo sio Lazima.
Malalamiko kama haya yako, bila kutaja jina la kituo husika, ni MAJUNGU.Mkuu
1/. Hujanielewa nilichokiandika
Nimesema nimekosa huduma ,Moja ya kituo sababu sijachoma Chanjo
Then nikauliza hawa watu wamepata wapi jeuri ya kupinga kauli ya mh.Rais kuwa Chanjo sio Lazima.
2/.Umekurupuka
Ulipaswa kusema huo utaratibu haupo kwa maeneo uliyopo wewe.
Na pia ungeshauri wapi nipeleke malalamiko yangu. (Kama unafahamu kwa kina)
3/.niseme uongo ili nipate faida gani?
Acha kuwa na dhana mbovu kwa watu.
4/. No research no right to speak
Hiyo research ya kujua nasema uongo umeifanya saa ngapi?
Vituo vya Afya nchini vyote umefuatilia ? Kujua changamoto gani wagonjwa wanakutana nazo kipindi hiki Cha kinga?
Kwa mwenye kufahamu juu ya Hil naomba anifahamishe.
Nimekosa huduma moja ya kituo Cha Afya hapa nchini ,sababu sijachoma Chanjo ya COVID-19.
Je, hawa watoa huduma wamepata wapi jeuri ya kupinga kauli ya Mh. Rais
Ile kauli ya kuwa Chanjo sio Lazima.
Acheni upumbavu wa kuwalazimisha watu vitu wasivyoviamini kwa blackmailing. Upummbavu mtupu.Mwambie mke wako akachanje yupo kweny kundi ambalo ni kipaumbele hataki ajiudumie mwenyewe na ajifungulie uko uko ifike mahali mambo ya ku bembelezana yaishe ukikanyaga tu hospital unakutana na chanjo hutak ondoka full stop
Bila kutoa maelezo ya kutosha ya kituo kipi cha afya, kipo kata gani , wilaya gani na mkoa gani, ni tarehe gani na saa ngapi ulinyimwa huduma. Basi ninakuona wewe ni kama mchochezi usiyevumilika!Kwa mwenye kufahamu juu ya Hil naomba anifahamishe.
Nimekosa huduma moja ya kituo Cha Afya hapa nchini ,sababu sijachoma Chanjo ya COVID-19.
Je, hawa watoa huduma wamepata wapi jeuri ya kupinga kauli ya Mh. Rais
Ile kauli ya kuwa Chanjo sio Lazima.
Mkuu,hao watoa huduma wamekosea.Mkuu
1/. Hujanielewa nilichokiandika
Nimesema nimekosa huduma ,Moja ya kituo sababu sijachoma Chanjo
Then nikauliza hawa watu wamepata wapi jeuri ya kupinga kauli ya mh.Rais kuwa Chanjo sio Lazima.
2/.Umekurupuka
Ulipaswa kusema huo utaratibu haupo kwa maeneo uliyopo wewe.
Na pia ungeshauri wapi nipeleke malalamiko yangu. (Kama unafahamu kwa kina)
3/.niseme uongo ili nipate faida gani?
Acha kuwa na dhana mbovu kwa watu.
4/. No research no right to speak
Hiyo research ya kujua nasema uongo umeifanya saa ngapi?
Vituo vya Afya nchini vyote umefuatilia ? Kujua changamoto gani wagonjwa wanakutana nazo kipindi hiki Cha kinga?
Sasa kuna tatizo gani hapo? Kumbuka hao waenda clinic huwa wanajazana sana na kuleta risk ya maambukizi au wewe ni mfuasi wa askofu Gwajima??Mrs. Ni mjamzito huwa Kuna taratibu za kuhudhuria kliniki .
So ile wameenda leo ,wameambiwa mpaka wachome Chanjo ya Covid, ndo wapatiwe huduma.
Wauaji haoMrs. Ni mjamzito huwa Kuna taratibu za kuhudhuria kliniki .
So ile wameenda leo ,wameambiwa mpaka wachome Chanjo ya Covid, ndo wapatiwe huduma.
Nimeshangaa Director mmoja anasema wafanyakazi wasiochanja anawafuta kazi December hiiKwa mwenye kufahamu juu ya Hil naomba anifahamishe.
Nimekosa huduma moja ya kituo Cha Afya hapa nchini ,sababu sijachoma Chanjo ya COVID-19.
Je, hawa watoa huduma wamepata wapi jeuri ya kupinga kauli ya Mh. Rais
Ile kauli ya kuwa Chanjo sio Lazima.
Ni wapi huko mkuu?Kwa mwenye kufahamu juu ya Hil naomba anifahamishe.
Nimekosa huduma moja ya kituo Cha Afya hapa nchini ,sababu sijachoma Chanjo ya COVID-19.
Je, hawa watoa huduma wamepata wapi jeuri ya kupinga kauli ya Mh. Rais
Ile kauli ya kuwa Chanjo sio Lazima.
Wasubiri media Januari 2022Kuna watu watakwambia unasema uongo.
Watakuuliza ni wapi huko?