Ndio yawezakua lazima,
Sasa tunaingia kwenye Zama za "NEW NORMAL" zikishapita hizi ulimwengu wetu utakua unadumbukia Sasa kwenye "NEW WORLD ORDER"
Ni Nini New Normal?
Hiki Ni kipindi ambacho suala la Corona litakua Ni kitu Cha kawaida "Normal"
Na kwa mujibu wa taratibu Kila taasisi itakua imeweka ulazima wa Kila mpata huduma kuchanja then kwa ugumu huo Kila mtu atalazimika kuchanja kwa muda wake na Kila mtu ataona Ni kitu Cha kawaida "normal" na maisha yataendelea
Ukirejea baadhi ya hotuba za George Bush, hasa hutuba yake maarufu ya AMERICA IS UNDER ATTACK, Baada ya shambulio la September 11
Bush alibainisha kwamba NEW WORD ORDER Ni suala la lazima
Na akamalizia kuionya dunia kwamba kwenye harakati zao "you will choose to be in our side... Or the side of the terrors!
Akimaanisha kwamba dunia lazima ichague ama kua upande wa wamarekani ama kua upande wa magaidi
Kwa hiyo kiongozi tulia uchanjwe, tupo kwenye Zama za new normal kuelekea N.W.O