stella D Kanuti
Member
- Jul 9, 2014
- 64
- 9
Nisaidien wadau me nimetoka third selection kipindi wanatoa fursa ya kuomba kubadilishiwa vyuo sisi majina yetu yalikua bado hayajatoka, sasa binafsi gharama za saut sitoziweza nataja nihamie udom utaratibu gan niufuate?