Nimekosa mwanaume 'serious'

Miaka 35 duh utachina umekuwa dida wakati wako umekwisha pita waachie wadogo zako watese ww bac tena
 
Ngoja nipige akili nitakuja na Jibu la Mimi kuwa karbu na Miss mbege(jus riddle)
 
pole sana ila mimi sielewi kwanini wanawake wengine wanaweza kutongoza wanaume wengine hawawezi. jikaze tongoza unayempenda.
 
Katongoze tu no way out maana hakuna nmna kama unawalembulia na hawakuoni hakuna njia nyingine wakubali kutongozwa tu.
 
Instagram unatumia Jina Gani nikucheki picha kwanza
 
Hahahaahahahahahahahahah wadada wengi wehu siku nyingine utakuja ooo nataka kuvuta bangi maana haiwezekani wewe ukawataka watu wa level zisizo zako ukifatwa na wa size zako nawe unadinda

Wewe na ngosha lenu moja exposure 0
 
35 ungekuwa na mtt, hilo unalosema lingewa na mashiko. Ukikuta mwanamke 35 yrz hajazaa shtuka, kwanza 25 yrz haoleki kwa sababu atataka yeye ndio awe mume ndani ya nyumba. Kuna kidada pale handeni aliolewa akiwa 36yrz. Mumewe alipata bahati ya kwenda kusoma nje USA. Lakin mdada alifanya majonjo ya kienyeji ili jamaa asiende shule. Baada siku chache jamaa akapooza upande moja wa mwili na safari ikaishia hapo hapo. Mwaka pili sasa yaani hata huduma kwa mmewe ni kazi anamnyanyasa kiaina. Ilibidi ndg wa mume waje wamchukue kaka yao.... Mwanamke alitakiwa aolewe wakati akiwa mbichi wa umri ili asione ndoa ni mzigo mzito kwake Bali aone mume ni kila kitu kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…