Toa ushauri jinsi ya kuwashitaki maana kama kosa ni lako ulietuma kwa nini umshitaki aliepokea bila hata kuomba wala hamfahamiani?kosa litaitwaje?toa ushauri tafadhali!
Mkuu,tatizo la mpesa,hawakuletei uthibitisho wa jina la mtu unayemtumia,tofauti na tigo pesa ambao wanakupa uthibitisho kwa jina la mtu unayemtumia,jina ni rahisi zaidi kwa watu walio wengi kuliko namba pekee,voda warekebishe hili.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Kosa litakuwa kujipatia pesa kwa njia za udanganyifu!!
Kama wewe siyo mwizi kwa nini uchukue hela haraka haraka na usepe? Si ungeenda kuisalimisha!! Huyo ni mwizi tu lazima ashitakiwe akipatikana. Ila Mahakama zetu na Policcm sijui kama hii wataikubali.
Lambardi. hivi benki ukitoa pesa sisizo zako huwa kuna utaratibu gani?
kuna rafik yangu alitumiwa pesa kwa mpesa kimakosa kwenye simu yake million 1 jamaa alichofanya kutoa pesa fasta na akaichana line,sasa hiv ana line nyingine mpya yuko kwa mtaa
Mwambie sio sifa
kuna rafik yangu alitumiwa pesa kwa mpesa kimakosa kwenye simu yake million 1 jamaa alichofanya kutoa pesa fasta na akaichana line,sasa hiv ana line nyingine mpya yuko kwa mtaa