Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Toa ushauri jinsi ya kuwashitaki maana kama kosa ni lako ulietuma kwa nini umshitaki aliepokea bila hata kuomba wala hamfahamiani?kosa litaitwaje?toa ushauri tafadhali!
Kosa litakuwa kujipatia pesa kwa njia za udanganyifu!!
Kama wewe siyo mwizi kwa nini uchukue hela haraka haraka na usepe? Si ungeenda kuisalimisha!! Huyo ni mwizi tu lazima ashitakiwe akipatikana. Ila Mahakama zetu na Policcm sijui kama hii wataikubali.