Ushauri please,
Mimi na mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa miaka kama 2 sasa. Kwa zaidi ya mwaka nimekuwa na matatizo ya erection na kukosa hamu kabisa ya mapenzi.
Nashindwa kabisa kumaintain erection, nimekwenda hospital nimeambiwa testosterone imeshuka sana, nimepewa dawa lakini wapi mambo ni yale yale.
Natamani kuoa lakini kwajinsi hari yangu ilivyo namuonea huruma mtoto wa watu ataishi maisha gani na mimi kwenye hari hii. Huwa inatokea nashindwa kuperform sometime dudu ikisima hata dakika haichukui inalala msichana huwa ananicheka tuu! nimehama hadi nilipokuwa naishi iliniwe mbali nae lakini bado hunifuata.
Nilimkimbia ilikama anamtu apate nafasi ya kuwa nae, na azione tofauti zilizopo then atafanya maamuzi sahihi.Herbal clinic nimezunguka mpaka nimechoka, naona napoteza pesa zangu tu.Yani mapenzi kwangu imekuwa ya kuvizia tu.
Sasa jana kaniuliza unakuja lini kujitambulisha nyumbani?
Ikabidi ni mwambie kwanza kunajambo naomba tuonge, nikamwambia kuhusu hili tatito langu nijue anasemaje juu yahili? Majibu yake sasa,amekasirika anasema nimemuharibia maisha, kama nimepata mtu sinimwambie tu.amenitakia maisha mema pia anasema hata nitafuta tena tenaaa.Amekasirika hataki kupokea simu yangu wala kujibu text zangu.
Nimekosea wapi ndugu zangu? Nilitaka kuliweka sawa hili ndo mambo mengi yafuate sikuwa na maana mbaya kwasababu na mpenda kiukweli.Nasoma humu jinsi wanawake wanavyolalamika kwenye ndoa zao nilitaka kumuweka tayari kwa hilo.
Ushauri ndugu zangu nini chakufanya kumpenda nampenda sana tuu
Mimi na mpenzi wangu tupo kwenye mahusiano kwa miaka kama 2 sasa. Kwa zaidi ya mwaka nimekuwa na matatizo ya erection na kukosa hamu kabisa ya mapenzi.
Nashindwa kabisa kumaintain erection, nimekwenda hospital nimeambiwa testosterone imeshuka sana, nimepewa dawa lakini wapi mambo ni yale yale.
Natamani kuoa lakini kwajinsi hari yangu ilivyo namuonea huruma mtoto wa watu ataishi maisha gani na mimi kwenye hari hii. Huwa inatokea nashindwa kuperform sometime dudu ikisima hata dakika haichukui inalala msichana huwa ananicheka tuu! nimehama hadi nilipokuwa naishi iliniwe mbali nae lakini bado hunifuata.
Nilimkimbia ilikama anamtu apate nafasi ya kuwa nae, na azione tofauti zilizopo then atafanya maamuzi sahihi.Herbal clinic nimezunguka mpaka nimechoka, naona napoteza pesa zangu tu.Yani mapenzi kwangu imekuwa ya kuvizia tu.
Sasa jana kaniuliza unakuja lini kujitambulisha nyumbani?
Ikabidi ni mwambie kwanza kunajambo naomba tuonge, nikamwambia kuhusu hili tatito langu nijue anasemaje juu yahili? Majibu yake sasa,amekasirika anasema nimemuharibia maisha, kama nimepata mtu sinimwambie tu.amenitakia maisha mema pia anasema hata nitafuta tena tenaaa.Amekasirika hataki kupokea simu yangu wala kujibu text zangu.
Nimekosea wapi ndugu zangu? Nilitaka kuliweka sawa hili ndo mambo mengi yafuate sikuwa na maana mbaya kwasababu na mpenda kiukweli.Nasoma humu jinsi wanawake wanavyolalamika kwenye ndoa zao nilitaka kumuweka tayari kwa hilo.
Ushauri ndugu zangu nini chakufanya kumpenda nampenda sana tuu