Nimekoshwa na "simplicity" ya Rais Uhuru Kenyatta alipotembelea Tanzania jana

Nimekoshwa na "simplicity" ya Rais Uhuru Kenyatta alipotembelea Tanzania jana

Jaylee

Member
Joined
Apr 15, 2009
Posts
66
Reaction score
96
Naomba nionyeshe kukoshwa kwangu na muonekano wa Rais wa Kenya, Mhe Uhuru Muigai Kenyatta, wakati alipokuja kwa ziara ya kuitembelea Tanzania. Sina zaidi ya kusema ila kwa wale waliobahatika kuona wakati wa kuwasili kwake na uwepo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu alitoa taswira ya mtu amvaye "simple" na asiye na makuu.
 
Usijidanganye, unachopaswa kufahamu ni kwamba Wakenya wanadharau sana Tanzania hilo liko wazi, kwa Wakenya Tanzania ni kama Mombasa au Pwani na Wakenya wa ,,rest of Kenya“ wanawadharau watu wa Mombasa kwamba ni wavivu, wako slow wana mentality nyingine hivyo Uhuru Kenyata kuja Tanzania ni kama anakwenda Mombasa hivyo washauri wake wamemshauri jinsi ya kuwa anavyokuwa na ,,watu wa Pwani“ ambao ndio sisi ingawaje wewe unaona kama ni heshima lkn ukiangalia kwa ndani kabisa ni kejeli.

Utaona tofauti akienda Rwanda au hata Uganda.

Hivyo utambue hilo kwanza kabla ya kusifu.
 
Usijidanganye, unachopaswa kufahamu I kwamba Wakenya wanadharau sana Tanzania hilo liko wazi, kwa Wakenya Tanzania ni kama Mombasa au Pwani na Wakenya wa ,,rest of Kenya“ wanawadharau watu wa Mombasa, hivyo Uhuru Kenyata kuja Tanzania ni kama anakwenda Mombasa hivyo washauri wake wamemshauri jinsi ya kuwa anavyokuwa na watu wa Pwani.

Utaona tofauti akienda Rwanda au hata Uganda.

Hivyo utambue hilo kwanza kabla ya kusifu.
Kwamba wakenya wanaichukulia Tanzania kama Chato
 
Usijidanganye, unachopaswa kufahamu ni kwamba Wakenya wanadharau sana Tanzania hilo liko wazi, kwa Wakenya Tanzania ni kama Mombasa au Pwani na Wakenya wa ,,rest of Kenya“ wanawadharau watu wa Mombasa kwamba ni wavivu, wako slow wana mentality nyingine hivyo Uhuru Kenyata kuja Tanzania ni kama anakwenda Mombasa hivyo washauri wake wamemshauri jinsi ya kuwa anavyokuwa na ,,watu wa Pwani“ ambao ndio sisi ingawaje wewe unaona kama ni heshima lkn ukiangalia kwa ndani kabisa ni kejeli.

Utaona tofauti akienda Rwanda au hata Uganda.

Hivyo utambue hilo kwanza kabla ya kusifu.

Hehehe nimecheka sana, ila wanaume wa Tanzania mnapaswa kutunukiwa nishani ya ulalamikaji, mnapenda kulialia kwenye chochote, sasa Museveni ambaye hakuja kabisa mtamsema vipi.
Kwa kifupi ulitaka Uhuru aje kivipi labda, avae mavazi yapi.
 
Hehehe nimecheka sana, ila wanaume wa Tanzania mnapaswa kutunukiwa nishani ya ulalamikaji, mnapenda kulialia kwenye chochote, sasa Museveni ambaye hakuja kabisa mtamsema vipi.
Kwa kifupi ulitaka Uhuru aje kivipi labda, avae mavazi yapi.
Labda walitaka Uhuru aje hivi. 😄
64a7c73b18a36b0af68607dbda7a1843--mobutu-sese-seko-kuku.jpg
 
Hehehe nimecheka sana, ila wanaume wa Tanzania mnapaswa kutunukiwa nishani ya ulalamikaji, mnapenda kulialia kwenye chochote, sasa Museveni ambaye hakuja kabisa mtamsema vipi.
Kwa kifupi ulitaka Uhuru aje kivipi labda, avae mavazi yapi.
Kuweni Na adabu Na nchi iliyoipigania nusu ya Afrika uhuru
 
Naomba nionyeshe kukoshwa kwangu na muonekano wa Rais wa Kenya, Mhe Uhuru Muigai Kenyatta, wakati alipokuja kwa ziara ya kuitembelea Tanzania. Sina zaidi ya kusema ila kwa wale waliobahatika kuona wakati wa kuwasili kwake na uwepo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu alitoa taswira ya mtu amvaye "simple" na asiye na makuu.
Unaomba omba nini? Nyie huwa mnapenda kuomba sana Watanzania. Inaonekana mumeokoka sana? 🤣
 
Usijidanganye, unachopaswa kufahamu ni kwamba Wakenya wanadharau sana Tanzania hilo liko wazi, kwa Wakenya Tanzania ni kama Mombasa au Pwani na Wakenya wa ,,rest of Kenya“ wanawadharau watu wa Mombasa kwamba ni wavivu, wako slow wana mentality nyingine hivyo Uhuru Kenyata kuja Tanzania ni kama anakwenda Mombasa hivyo washauri wake wamemshauri jinsi ya kuwa anavyokuwa na ,,watu wa Pwani“ ambao ndio sisi ingawaje wewe unaona kama ni heshima lkn ukiangalia kwa ndani kabisa ni kejeli.

Utaona tofauti akienda Rwanda au hata Uganda.

Hivyo utambue hilo kwanza kabla ya kusifu.
Uongo.
 
Usijidanganye, unachopaswa kufahamu ni kwamba Wakenya wanadharau sana Tanzania hilo liko wazi, kwa Wakenya Tanzania ni kama Mombasa au Pwani na Wakenya wa ,,rest of Kenya“ wanawadharau watu wa Mombasa kwamba ni wavivu, wako slow wana mentality nyingine hivyo Uhuru Kenyata kuja Tanzania ni kama anakwenda Mombasa hivyo washauri wake wamemshauri jinsi ya kuwa anavyokuwa na ,,watu wa Pwani“ ambao ndio sisi ingawaje wewe unaona kama ni heshima lkn ukiangalia kwa ndani kabisa ni kejeli.

Utaona tofauti akienda Rwanda au hata Uganda.

Hivyo utambue hilo kwanza kabla ya kusifu.
Wenae mbona unaongea uharo, unawezaje kumdharau anaekufanya uende chooni? Kama wanadharau wagomee chakula
 
Usijidanganye, unachopaswa kufahamu ni kwamba Wakenya wanadharau sana Tanzania hilo liko wazi, kwa Wakenya Tanzania ni kama Mombasa au Pwani na Wakenya wa ,,rest of Kenya“ wanawadharau watu wa Mombasa kwamba ni wavivu, wako slow wana mentality nyingine hivyo Uhuru Kenyata kuja Tanzania ni kama anakwenda Mombasa hivyo washauri wake wamemshauri jinsi ya kuwa anavyokuwa na ,,watu wa Pwani“ ambao ndio sisi ingawaje wewe unaona kama ni heshima lkn ukiangalia kwa ndani kabisa ni kejeli.

Utaona tofauti akienda Rwanda au hata Uganda.

Hivyo utambue hilo kwanza kabla ya kusifu.

Hizo ni hisia tu, ambazo unajaribu kuzionesha hapa. Hakuna hata chembe ya ukweli kwa unayoyafikiria. Uanawasingizia wakenya kwa mambo ambayo hata hawayafikirii.
 
Back
Top Bottom