Nimekoshwa na "simplicity" ya Rais Uhuru Kenyatta alipotembelea Tanzania jana

Nimekoshwa na "simplicity" ya Rais Uhuru Kenyatta alipotembelea Tanzania jana

Naomba nionyeshe kukoshwa kwangu na muonekano wa Rais wa Kenya, Mhe Uhuru Muigai Kenyatta, wakati alipokuja kwa ziara ya kuitembelea Tanzania. Sina zaidi ya kusema ila kwa wale waliobahatika kuona wakati wa kuwasili kwake na uwepo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu alitoa taswira ya mtu amvaye "simple" na asiye na makuu.
Mtu katoka nyumbani kwake akaingia nyumba ya jirani kuwajulia hali, unataka ajikwatue kama anaenda kwa akina Biden? Hiyo ilikuwa indicator kwamba mtu yuko nyumbani kwao, hayuko ugenini na hivyo hahitaji kujikwatua
 
Hizo ni hisia tu, ambazo unajaribu kuzionesha hapa. Hakuna hata chembe ya ukweli kwa unayoyafikiria. Uanawasingizia wakenya kwa mambo ambayo hata hawayafikirii.
Utachoshwa na watu wenye ma-inferiority complex, huwa hawana positive eye hata siku moja.
 
Ukichaguliwa kwa misingi ya haki na uwazi huna haja ya kuhofia watu wala kuwaza heshima ya uongozi wako
 
Mangi...acha hisia chafu....haisadii whatever they think about tz.
 
Usijidanganye, unachopaswa kufahamu ni kwamba Wakenya wanadharau sana Tanzania hilo liko wazi, kwa Wakenya Tanzania ni kama Mombasa au Pwani na Wakenya wa ,,rest of Kenya“ wanawadharau watu wa Mombasa kwamba ni wavivu, wako slow wana mentality nyingine hivyo Uhuru Kenyata kuja Tanzania ni kama anakwenda Mombasa hivyo washauri wake wamemshauri jinsi ya kuwa anavyokuwa na ,,watu wa Pwani“ ambao ndio sisi ingawaje wewe unaona kama ni heshima lkn ukiangalia kwa ndani kabisa ni kejeli.

Utaona tofauti akienda Rwanda au hata Uganda.

Hivyo utambue hilo kwanza kabla ya kusifu.
Yaan unaongea UJINGA mtupu
 
Usijidanganye, unachopaswa kufahamu ni kwamba Wakenya wanadharau sana Tanzania hilo liko wazi, kwa Wakenya Tanzania ni kama Mombasa au Pwani na Wakenya wa ,,rest of Kenya“ wanawadharau watu wa Mombasa kwamba ni wavivu, wako slow wana mentality nyingine hivyo Uhuru Kenyata kuja Tanzania ni kama anakwenda Mombasa hivyo washauri wake wamemshauri jinsi ya kuwa anavyokuwa na ,,watu wa Pwani“ ambao ndio sisi ingawaje wewe unaona kama ni heshima lkn ukiangalia kwa ndani kabisa ni kejeli.

Utaona tofauti akienda Rwanda au hata Uganda.

Hivyo utambue hilo kwanza kabla ya kusifu.
Hii rejea waweza tushirikisha mkuu, muda mwingine hata weusi hujihisi ni inferior kwenye wenye light skins kutokana na myths. Nadhani wengi tunaishi na historia kwenye minds zetu, negativity zimekua nyingisana against northern neighbor 😅
Hii inapelekea kila wanachofanya tunahisi wametudowngrade
 
Usijidanganye, unachopaswa kufahamu ni kwamba Wakenya wanadharau sana Tanzania hilo liko wazi, kwa Wakenya Tanzania ni kama Mombasa au Pwani na Wakenya wa ,,rest of Kenya“ wanawadharau watu wa Mombasa kwamba ni wavivu, wako slow wana mentality nyingine hivyo Uhuru Kenyata kuja Tanzania ni kama anakwenda Mombasa hivyo washauri wake wamemshauri jinsi ya kuwa anavyokuwa na ,,watu wa Pwani“ ambao ndio sisi ingawaje wewe unaona kama ni heshima lkn ukiangalia kwa ndani kabisa ni kejeli.

Utaona tofauti akienda Rwanda au hata Uganda.

Hivyo utambue hilo kwanza kabla ya kusifu.
you are very wrong.....i mean totally wrong.

huu mtazamo umeutoa ukiwa unakunya bila shaka.
 
Sijatazama ila sidhani kama unapoingia kwa jirani pana uhitaji wa mbwembwe nyingi....
Ukiwa hujapata chang'aa unakua na busara sana
But ndugu yetu yupo toka jana na jioni hii anamaliza official state visit
Na janja janja yake kaja na mikataba kama 60 hivi yote kutaka kupunguza deficit!
 
Ukiwa hujapata chang'aa unakua na busara sana
But ndugu yetu yupo toka jana na jioni hii anamaliza official state visit
Na janja janja yake kaja na mikataba kama 60 hivi yote kutaka kupunguza deficit!

Ndo unyang'au huooooo!!!!
Hebu mtafutieni nyumba ndogo la Kinyaturu apige kimya kimya, ila urais kazi ya hovyoo sana, hamna siri yoyote, hauwezi kujimwayi mwayi bila taarifa kugonga vichwa vya habari kesho yake.
 
Back
Top Bottom