Nimekua msomaji hapa kwa muda ila nimetia timu kabisa

Nimekua msomaji hapa kwa muda ila nimetia timu kabisa

Nulla Bonna=no effect..............i just asked a fortiori(with a stronger reason) be my guest

Mvua,

Utaudhi watu na hizo grammar kubwa,hapo nipofanyia bolding
Singo..[/QUOTE]
 
Asante Mpenzi Ben,

Thanks 4 ur soul touching Message.Ninyi The Boss,Mwanakijiji,First Lady1,Regia,Lizzy,Afrodenz,Mwanajamii1,Baba Enock,Biringita,husninyo,Balantanda,Speaker,Bishanga,Bht,Preta.........na wengine wengi siwezi kumaliza nimetaja randomly tu Inabidi mtuongoze njuka wa kwenye jukwaa kama hili hadi tukomae,Ukweli ni kwamba navutiwa sana na michango yako,siwezi kujizuia kutabasamu.Ukiendelea hivyo utafika mbali.Wewe ni mojawapo wa wanasiasa chipukizi ninaowahusudu sana,nina matumaini unasaidiana na wenzako kujenga Chama sasa.Ila hapo nilipoweka bold umeniacha hoi,naona unaweka chachandu kwenye lugha.

Usitumie hiyo lugha-acid kwa wifi kama yupo.he he.by the way nimependa hiyo signature yako Saanane!

Haya Asante,JF kumejaa ukarimu tele.karibu barazani!!!

Vipi dada,na wewe umesepa bungeni leo?hutaki sitting allowance? Au Jamii forums imekuponza?Usisahau kujaza fomu za maadili ya uongozi wa umma ukaanza kusingizia mapepo nk.JF si pepo(Kidding),once again karibu
 
he he,kwa nini nisijute kuwa na wewe?wewe si unatangaza kutokuwa na hela,si utanishawishi kuwa posho bungeni ni halali? ah

Hahahaha,sasa mbona ulinambia tutaenda jimboni "!!!!" afu umenichunia bana?
sio fresh,...
By the way unajua kwanini nimesema sina hela,hiyo haimaanishi naiba,ila
kidogo nilicho nacho kwa sasa tutumie kihalali!!!

Posho chukua bana kimya kimya,hata hivo si nasikia mnachukua tu maana daftari mnalo sign ni
moja tu la mahudhurio na posho,kwa sasa chukua waki change system acha,...

Nshakusoma miss,i love you
 
Asante Mpenzi Ben,

Thanks 4 ur soul touching Message.Ninyi The Boss,Mwanakijiji,First Lady1,Regia,Lizzy,Afrodenz,Mwanajamii1,Baba Enock,Biringita,husninyo,Balantanda,Speaker,Bishanga,Bht,Preta.........na wengine wengi siwezi kumaliza nimetaja randomly tu Inabidi mtuongoze njuka wa kwenye jukwaa kama hili hadi tukomae,Ukweli ni kwamba navutiwa sana na michango yako,siwezi kujizuia kutabasamu.Ukiendelea hivyo utafika mbali.Wewe ni mojawapo wa wanasiasa chipukizi ninaowahusudu sana,nina matumaini unasaidiana na wenzako kujenga Chama sasa.Ila hapo nilipoweka bold umeniacha hoi,naona unaweka chachandu kwenye lugha.

Usitumie hiyo lugha-acid kwa wifi kama yupo.he he.by the way nimependa hiyo signature yako Saanane!

Mwanzoni nilihisi wewe ni regia,...
ila ulivosema "njuka" nika mkumbuka alotumia hilo neno bungeni,..doh
Jukwaa la siasa unatumia jina gani ati?
 
Bila shaka hujatumwa na magamba kutuchafulia hali ya hewa humu ndani,by the way pita ndani mkuu
 
Ben,
Sijasepa

Speeker,
Utaniponza,asante ....potezea kiaina


Wakuu,najiandaa kwenda kuwajibika muda umefika.Nikitoka nitapita huku.Asanteni najiskia vizuri kabisa
 
Ops,kimya kimya haha!

Duh, nshakusoma mkuu...mimi pia nlikua nafuatilia kwa ukaribu nyendo za mwanadada huuyu ila hapo alipojiachia juua sikuwa nimemsoma haraka..
Shukrani Speaker!!!!
 
karibu sana hapa JF. Kama ulivyoelezwa na kama unavyoelewa hapa hatuulizani vyama; ni hoja tu na hoja zitakutambulisha wewe ni mtu wa aina gani -period
 
Back
Top Bottom