Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,240
hahahaaa.nimekukumataa,
mbona uliniwekea kauzibe baab
Mkataba uliisha bana,ur free to go now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaaa.nimekukumataa,
mbona uliniwekea kauzibe baab
[/QUOTE]ces liberte? r u single au ushawahiwa...........
QUOTE=Miss Parliament;2160812]Juisi ya madafu,he he.Asante
haya sasa kazi imeanza.....na huyu nae kaibukia wapiiiiiiiiiiiii????????Karibu sana mgeni,kwani we dini gan?
karibu...u can call me ivuga or SI
Asante Mpenzi Ben,
Thanks 4 ur soul touching Message.Ninyi The Boss,Mwanakijiji,First Lady1,Regia,Lizzy,Afrodenz,Mwanajamii1,Baba Enock,Biringita,husninyo,Balantanda,Speaker,Bishanga,Bht,Preta.........na wengine wengi siwezi kumaliza nimetaja randomly tu Inabidi mtuongoze njuka wa kwenye jukwaa kama hili hadi tukomae,Ukweli ni kwamba navutiwa sana na michango yako,siwezi kujizuia kutabasamu.Ukiendelea hivyo utafika mbali.Wewe ni mojawapo wa wanasiasa chipukizi ninaowahusudu sana,nina matumaini unasaidiana na wenzako kujenga Chama sasa.Ila hapo nilipoweka bold umeniacha hoi,naona unaweka chachandu kwenye lugha.
Usitumie hiyo lugha-acid kwa wifi kama yupo.he he.by the way nimependa hiyo signature yako Saanane!
he he,kwa nini nisijute kuwa na wewe?wewe si unatangaza kutokuwa na hela,si utanishawishi kuwa posho bungeni ni halali? ah
Asante Mpenzi Ben,
Thanks 4 ur soul touching Message.Ninyi The Boss,Mwanakijiji,First Lady1,Regia,Lizzy,Afrodenz,Mwanajamii1,Baba Enock,Biringita,husninyo,Balantanda,Speaker,Bishanga,Bht,Preta.........na wengine wengi siwezi kumaliza nimetaja randomly tu Inabidi mtuongoze njuka wa kwenye jukwaa kama hili hadi tukomae,Ukweli ni kwamba navutiwa sana na michango yako,siwezi kujizuia kutabasamu.Ukiendelea hivyo utafika mbali.Wewe ni mojawapo wa wanasiasa chipukizi ninaowahusudu sana,nina matumaini unasaidiana na wenzako kujenga Chama sasa.Ila hapo nilipoweka bold umeniacha hoi,naona unaweka chachandu kwenye lugha.
Usitumie hiyo lugha-acid kwa wifi kama yupo.he he.by the way nimependa hiyo signature yako Saanane!
Ben,
Sijasepa
Speeker,
Utaniponza,asante ....potezea kiaina
Wakuu,najiandaa kwenda kuwajibika muda umefika.Nikitoka nitapita huku.Asanteni najiskia vizuri kabisa
Ops,kimya kimya haha!