Nimekubali huyu binti bikra anazitesa hisia zangu. Nimekubali nimekamatika. Natamani kutoka lakini nashindwa sijui nifanye nini

Unataka tukushauri umbake? Hapana hatuwezi kutoa ushauri kama huo.
 
Mkuu uwe tu na uvumiliv ila anakupenda anataka ajuwe atention yako,,, endelea kumbemneleza tu ipo sik utamula,, kubwa mjali kile atakacho na uwe nae mara Kwa mara,, mwambie makusud yako ni nn kwake hasa upatapo mda wa kuwa nae,,,, muonyeshe unampenda na kumjali,, mwambie hutaki kumtoa bkra Kwa nguvu na kumuumiza,, mweleze unavyojisikia kwake,, mwambie hisia zako zilivyo kwake,,,
Nb: jitahid usimpoteze na kumpa nafas mwanaume mwingne hasa hiki kipnd,,, acha kabsa kumuonesha kuwa una madem wengne nje,, hakikisha mtu yyte wa karib hakuon na Dem akaja akapewa tarfa utajuta hii yote coz unampenda,, Dem bkra hataki pupa na hataki mtu mhuni huni,, anataka uwe wake peke ake,,nakwambia utamla,,, surprise zisiishe kwake mkuu...ukimula Kwa nguvu ukamuumiza,, hutamula tena na kumuoa sahau,,, au jitambulishe kwao na umuoe direct bkra utaitowa hurnmoo..
 
Shukran sana kakakwa huu ushauri nitafanya hvyo hvyo ulivoniambia sitaki nimpoteze ile ni almasi mchangani kabisaaa
 
Unatapeliwa, kenge maji wewe..
 
Nlijikamatia bikra wangu nkawa jasiri muongoza njia hadi leo ananiita BABA MANDINGO wakati mimi ni American nigger U know
 
Huyo rahisi sana tena endelea hivyo hivyo upo kwenye right path. Ila sasa kwa kuwa umesema unakaa nate nyumba moja, fanya mawili. Mfanye aku miss,, Potea kwa siku kama 3 hivi ukirudi utaona.
Ama mtie wivu, tafuta demu mkali kuliko yeye hata kwa kumkodi kwa dakika 5 tu. Nenda naye kwako ukiwa na uhakika yule atakuona. Ingia naye ndani kwako kwa dakika 3 tu, usizidishe. Then mruhusu atoke peke yake aende zake.
Kitakachofuata utakuja kunisimulia wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…