Nimekubamba Miss JF

NALIA NGWENA Mkuu kwa hisani yako, uliyemuona leo ni mimi, nilishawaambia hapa kuwa kule kwetu kwa Mtogole nina biashara ya chapatti na maandazi, sasa nimeongeza mtaji kidogo ndiyo nimepanua na samaki wa kukaanga.
Ukitaka kuaminika kua unatokea kwa Mtogole acha kuandika 'chapatti' andika 'chapati' 'xhapati' 'shapati' au cd.

Halafu kumbe watu wakija pm unawafurumusha? Unatoa wapi roho ngumu kama hii? Hivi utashindwa kweli kula rambi rambi wewe?
 
Mkuu wapo humu wamejificha Hawa hawataki kabisa kujulikana
 
HahahahaH Mimi mwenyewe boss wangu yupo humu na huwa ananiambia mambo ya hum Sema sijui id yake
 
Ukitaka kuaminika kua unatokea kwa Mtogole acha kuandika 'chapatti' andika 'chapati' 'xhapati' 'shapati' au cd.

Halafu kumbe watu wakija pm unawafurumusha? Unatoa wapi roho ngumu kama hii? Hivi utashindwa kweli kula rambi rambi wewe?
HahahahaH
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…