Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha
Hajataka tu umuone huyooHahaa wanaume tukovizuri dada. Alafu wana jf tunapenda kukwepana sana kunammoja ilibakia kidogotu ningemuona.
Inawezekana unachosema, binafsi nimekutana nao kama wawili wajuaji kama nini humu ndani.....Mbona hata na wanaume nao ni hivyo hivyo.
Mimi umeelezea kulingana na jinsi nilivyomuona sasa ulitaka niseme tulikuwa tunapanda BombadiaLakini habari za kumtajamtu jinsialivyo humu it's nonsense!!.
Hahaaa tuishie hapotu mkuu maana itakuwa ndioyaleyale.Alikukwepaje mkuu
Kwa Hyo tukiwaona mnachukia eti Acha zako bhanaWewe utakua she male wewe sio bure
UmeonaeeHajataka tu umuone huyoo
Haina kwereHahaaa tuishie hapotu mkuu maana itakuwa ndioyaleyale.
Mkuu unadhani angekuwa mwanamke angekuja kutangaza humu. Kwanza ningekuwa mimi ningemsalimia kwa masham sham yoote na kufurahi kumuona mwana jamii mwenzangu na sio kuja huku kuanza kutangaza mara kavaa yebo yebo mara hivi ambapo havina maana yeyoteUmejuaje kama mleta mada ni mwanaume???
Hama mwanaume mwenye tabia hiyo, tutake radhi.
Hata hivyo sijasema kama yeye ni mwanamke. Unajua kuna tofauti kubwa sana kati ya mvulana na mwanaume???Mkuu unadhani angekuwa mwanamke angekuja kutangaza humu. Kwanza ningekuwa mimi ningemsalimia kwa masham sham yoote na kufurahi kumuona mwana jamii mwenzangu na sio kuja huku kuanza kutangaza mara kavaa yebo yebo mara hivi ambapo havina maana yeyote
Kwa hiyo hiyo lengo lako lilikuwa uwaone tu ili ujue kasoro.zao eeee.Inawezekana unachosema, binafsi nimekutana nao kama wawili wajuaji kama nini humu ndani.....
Hahahaaaaaa! We ni balaa aiseeHata hivyo sijasema kama yeye ni mwanamke. Unajua kuna tofauti kubwa sana kati ya mvulana na mwanaume???
Nadhani ushanielewa sasa...
Haya nigongee LIKE moyo wangu uridhike.
Lengo langu halikuwa kutoa kasoro, mtoa maada alivyoleta story hii ndo nikakumbuka yote haya.....Kwa hiyo hiyo lengo lako lilikuwa uwaone tu ili ujue kasoro.zao eeee.
Watu hawaelewi hapa wanadhani Mimi nimekashifu Hapana Mimi nimeeleza kulingana na furaha yangu kumuona mwana jamii mwenzanguMsaka tonge kwa juhudi zake shida ni nini?
Kama kweli, Miss mtajwa endelea na mapambano duniani hatukuja kuzubaa....
Keep it up
Mmhhh! Mkuu na wewe kwani ukikumbuka hadi useme?Lengo langu halikuwa kutoa kasoro, mtoa maada alivyoleta story hii ndo nikakumbuka yote haya.....