WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Hodi humu ndani.
Jamani nimeamua kujiunga humu JF rasmi bada ya kukaa nje nikisoma comment za watu mbalimbali humu ndani,imefika wakati sasa nimeamua kujiunga ili na mimi niweze kueleza niliyo nayo moyoni.
Nafarijika kwamba kadri siku zinavyokwenda ndivyo ukweli wa mambo unavyozidi kuwekwa hadharani,ingawa kuna baadhi ya maeneo watu wanaingiza ushabiki zaidi badala ya HOJA!.Naomba niseme kwamba kam tukiendelea katika ujasiri wa namna hii na hasa kwenye ukweli bila kusingizia,ukombozi umekaribia.
Wajifya Inoo, Mwita Maranya , idawa, betlehem, KakaJambazi, WABHEJASANA, SANGARA, Elungata, Patriote, utaifakwanza, Return Of Undertaker, Crashwise, mwaJ, AshaDii, gfsonwin, @FirstLady1, lara 1 na wengineo woooooooooooooooooote,Hodiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Jamani nimeamua kujiunga humu JF rasmi bada ya kukaa nje nikisoma comment za watu mbalimbali humu ndani,imefika wakati sasa nimeamua kujiunga ili na mimi niweze kueleza niliyo nayo moyoni.
Nafarijika kwamba kadri siku zinavyokwenda ndivyo ukweli wa mambo unavyozidi kuwekwa hadharani,ingawa kuna baadhi ya maeneo watu wanaingiza ushabiki zaidi badala ya HOJA!.Naomba niseme kwamba kam tukiendelea katika ujasiri wa namna hii na hasa kwenye ukweli bila kusingizia,ukombozi umekaribia.
Wajifya Inoo, Mwita Maranya , idawa, betlehem, KakaJambazi, WABHEJASANA, SANGARA, Elungata, Patriote, utaifakwanza, Return Of Undertaker, Crashwise, mwaJ, AshaDii, gfsonwin, @FirstLady1, lara 1 na wengineo woooooooooooooooooote,Hodiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Last edited by a moderator: