Nimekuja tena nipeni ramani kabla sijaenda lushoto kutembea

Nimekuja tena nipeni ramani kabla sijaenda lushoto kutembea

Pisi zake unavuta tu... Disco zote za Lushoto usiku wanajazana hao watoto wa IJA... Siku hizi elimu ni nyepesi sana
 
Juzi nilikua Arusha nmerudi hapa home mkoa wa Kilimanjaro, kabla sijarud dar nataka Tena kwenda LUSHOTO KUTEMBEA, Arusha nilipapenda sana nkapata na mwenyeji akanitembeza Mitaa, Hali ya hewa nzuri sana, na Kuna jamaa akanielekeza niende africana bar [emoji1787][emoji1787] noma sana.

Sasa nataka kwenda kupigwa na baridi huko Lushoto, nataka direction ya kupata mambo yafuatayo nikifika:-

* Lodge nzuri za bei ya kawaida tuu
*Sehemu kwenye watoto wa kisambaa nikasafishe macho
*Sehem wanapouza misosi mizuri (pork isikosekane)
*Sehemu ambayo Internet ya Tigo au Airtel iwe inasoma 4G

NIPENI direction wakuu lengo langu mwaka huu nikutembelea Kila mkoa uliopo ndani ya Tanzania.
Ukifika Lushoto usikose kuwaona Wagosi wa Kaya. Waungishe biashara na stori na za hapa na pale
 
Tahadhari nyingine, watoto wa kisambaa wanategesha ndoa, vitoto vya form two lakini vinataka kuolewa na vinamambo makubwa... Kuwa makini usijekurudi na mke
 
Lushoto nyumba za kupanga zimekaaje? Naripoti kituo kipya cha kazi mwezi wa pili.
 
Kutoka lushoto mjini mpaka shule inaitwa St Marry Mazinde Juu unatumia muda gani kwa gari binafsi
 
Back
Top Bottom