Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Irente View
hapo DochiKuna chuo cha usimamizi wa mahakama na sheria kipo hapo Lushoto...
Ukifika Lushoto usikose kuwaona Wagosi wa Kaya. Waungishe biashara na stori na za hapa na paleJuzi nilikua Arusha nmerudi hapa home mkoa wa Kilimanjaro, kabla sijarud dar nataka Tena kwenda LUSHOTO KUTEMBEA, Arusha nilipapenda sana nkapata na mwenyeji akanitembeza Mitaa, Hali ya hewa nzuri sana, na Kuna jamaa akanielekeza niende africana bar [emoji1787][emoji1787] noma sana.
Sasa nataka kwenda kupigwa na baridi huko Lushoto, nataka direction ya kupata mambo yafuatayo nikifika:-
* Lodge nzuri za bei ya kawaida tuu
*Sehemu kwenye watoto wa kisambaa nikasafishe macho
*Sehem wanapouza misosi mizuri (pork isikosekane)
*Sehemu ambayo Internet ya Tigo au Airtel iwe inasoma 4G
NIPENI direction wakuu lengo langu mwaka huu nikutembelea Kila mkoa uliopo ndani ya Tanzania.
Mwenzio anataka kutalii watoto wa kisambaa we unampa habari ya view Majabali!? ...Ila akifika lushoto asisahau kwenda mbaramo kupandisha Nyota[emoji4]
Humohumo... Wanakitembeza haswa... Na lile baridi la Lushoto si mchezohapo Dochi
Asante Kwa muongozoTahadhari nyingine, watoto wa kisambaa wanategesha ndoa, vitoto vya form two lakini vinataka kuolewa na vinamambo makubwa... Kuwa makini usijekurudi na mke
Bei rahisi mno, kule maisha ni marahisi sana kama una kipato cha uhakikaLushoto nyumba za kupanga zimekaaje? Naripoti kituo kipya cha kazi mwezi wa pili.
Asante sana, japo nimezoea hili jiji la joto ngoja tukaone na huko. Baada ya kufanya kazi mjini zaidi ya miaka 12 na pesa yote kuishia tumboniBei rahisi mno, kule maisha ni marahisi sana kama una kipato cha uhakika
Aangalie asije akalowea huko[emoji3]Mwenzio anataka kutalii watoto wa kisambaa we unampa habari ya view Majabali!? ...Ila akifika lushoto asisahau kwenda mbaramo kupandisha Nyota[emoji4]