Nimekula mtaji wa watu

Nimekula mtaji wa watu

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Mssada wadau kuna duka nimekabidhiwa lakini mwenendo wa mauzo siyo wa kuridhisha pia inasemekana hili eneo halina biashara na uswahili ni mwingi,lakini mbaya zaidi kwa milango tuliokodi sisi upande wetu kwa miezi kadhaa nashuhudia watu wanahama mimi bado nimekomaa.

Tatizo linakuja duka biashara yake haieleweki na kama mnavyotambua nahitaji pesa kujikimu kimaisha,hivyo nakuwa sina budi kuchukua pesa na kutumia na mpaka kufika sasa nina miaka 3,boss hapigi hesabu ila mimi ndiyo natambua loss ya duka.

Nimepiga hesabu nadaiwa almost laki 4,mshahara 7-4000 nataka niache ila ninalo deni,sijui nifanyaje.

Wadau nifanyaje,kisheria pia haitaniletea madhara nikipelekwa polisi?
 
Mssada wadau kuna duka nimekabidhiwa lakini mwenendo wa mauzo siyo wa kuridhisha pia inasemekana hili eneo halina biashara na uswahili ni mwingi,lakini mbaya zaidi kwa milango tuliokodi sisi upande wetu kwa miezi kadhaa nashuhudia watu wanahama mimi bado nimekomaa.

Tatizo linakuja duka biashara yake haieleweki na kama mnavyotambua nahitaji pesa kujikimu kimaisha,hivyo nakuwa sina budi kuchukua pesa na kutumia na mpaka kufika sasa nina miaka 3,boss hapigi hesabu ila mimi ndiyo natambua loss ya duka.

Nimepiga hesabu nadaiwa almost laki 4,mshahara 7-4000 nataka niache ila ninalo deni,sijui nifanyaje.

Wadau nifanyaje,kisheria pia haitaniletea madhara nikipelekwa polisi?
Mdaiwa huwa hafungwi ila kesi yako wewe imekaa kimtego kwa maana inaweza ikatoka kwenye udaiwa na kuingia kwenye wizi kwahiyo unatakiwa uchange karata zako vizuri.

Kwanza hautakiwi kukimbia kwa maana ukikimbia utakua umejiingiza mwenyewe kwenye kesi ya wizi kwahiyo ukifanya masihara atakufunga kweli.

Kwahiyo options ni mbili tu, ya Kwanza inabidi umwambie live kwamba kuna lose na ya pili inabidi usimwambie ila ujitahidi kujibana kwenye mshahara upunguze hilo deni.

Lakini pia kama utakua unaogopa kumwambia live basi inabidi umwambie mkae mpige wote hesabu kwa maana ya kwamba umwambie haujapiga hesabu muda kwahiyo kwakua ni mwisho wa mwaka ni bora mkae mpige hesabu na wakati unamwambia hivyo jitahidi uwe katika hali ya kujiamini sana kiasi ambacho asikutilie shaka.

Then akishaigundua hiyo hasara ndio itajulikana hapo hapo but nawewe itabidi ujifanye kushangaa kwamba hiyo lose imetokea wapi na baada ya hapo kama ni mstaarabu basi mtapata muafaka wa namna ya kuicover ila akiwa mbogo ndio itabidi ukubaliane nae na umuahidi kulipa na hapa kesi yako itakua imeangukia kwenye madai na kesi ya madai huwa haipokelewi hata polisi kwahiyo utakua salama kihivyo ila ukifanya utoto utapewa kesi ya wizi.
 
Mssada wadau kuna duka nimekabidhiwa lakini mwenendo wa mauzo siyo wa kuridhisha pia inasemekana hili eneo halina biashara na uswahili ni mwingi,lakini mbaya zaidi kwa milango tuliokodi sisi upande wetu kwa miezi kadhaa nashuhudia watu wanahama mimi bado nimekomaa.

Tatizo linakuja duka biashara yake haieleweki na kama mnavyotambua nahitaji pesa kujikimu kimaisha,hivyo nakuwa sina budi kuchukua pesa na kutumia na mpaka kufika sasa nina miaka 3,boss hapigi hesabu ila mimi ndiyo natambua loss ya duka.

Nimepiga hesabu nadaiwa almost laki 4,mshahara 7-4000 nataka niache ila ninalo deni,sijui nifanyaje.

Wadau nifanyaje,kisheria pia haitaniletea madhara nikipelekwa polisi?
Sasa hapo kosa lako liko wapi? Labda kama umeficha maelezo mengine.

Kila biashara inaweza kuleta faida au hasara, na biashara zinazoleta hasara na kufa ni nyingi kuliko zinazofanikiwa na kudumu.

As long as hujaiba hela ukaenda kununua vitu vyako binafsi au kuhonga. Hayo matumizi yako justified, unajikimu. Hiyo biashara imekufa sababu ina mauzo kidogo kiasi kwamba ukitoa matumizi faida inaisha inakuwa hasara kidogo, jumla ya hizo hasara ndio kukata mtaji.

Pia umesema kuna uswahili maana yake wanakopa, hawana purchasing power kubwa, wanalalia bei.

Muhimu hapo piga hesabu vizuri uonyeshe mapato na matumizi. Hamna kesi hapo, yeyote inaweza mtokea hata mimi imenitokea.
 
Back
Top Bottom