Nimekumbuka chating za secondary

Hakika nyakati zile zilikuwa njema sana.
 
Daaah mkuu umenikumbusha mbali kipindi hicho nipo boys school ukitumiwa barua toka kwa mtoto wa kike siku hiyo inakua ya tofauti. Kabla ya kuifungua lazima uwe umeoga upo safi ugali hauna nafasi jioni hiyo.
Siku moja sitoweza kuisahau, barua yangu imeitwa mstarini nilipoipokea nikaiweka kwenye begi sikutaka hata kuisoma hadi jioni nikimaliza kula. Ile jioni imefika naifungua kwa bashasha kuisoma kumbe ni jamaa yangu tuliokua tunasoma wote class moja ndio aliyenitumia alienda hadi mjini kuituma kwa posta.
 
Kuna shule moja kwenye hicho kitengo cha "lover affairs" mtu alikuwa anatandikwa fimbo mpaka mia [emoji3][emoji3]
 
Hapo ni full kutamba kwa wahuni😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…