maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Mimi naona wa mama wa kambo wengi wa zamani walikuwa pouwa sana gubu walikuwa nalo dogo: wanao zingua ni hawa waliozaliwa 1980s kuja mbele.Mama wa kambo si mama
Mama wa kambo achaMama wa kambo si mama
inategemeana na mama mwenyeweMimi naona wa mama wa kambo wengi wa zamani walikuwa pouwa sana gubu walikuwa nalo dogo: wanao zingua ni hawa waliozaliwa 1980s kuja mbele.
Pole sana mkuu; kwa uliyopitia kwanzainategemeana na mama mwenyewe
Mimi naona wa mama wa kambo wengi wa zamani walikuwa pouwa sana gubu walikuwa nalo dogo: wanao zingua ni hawa waliozaliwa 1980s kuja mbele.
Wapo kweli Dada ake ila kizazi sasa hivi kimezidi sana; fuatalia hata matukio ya unyanyasaji watoto wadogo kwa kina mama wakambo ni mengi tu kipindi hiki, na sasa hivi sio kina mama tu hata kina baba wa kambo ni hatari, ukiwa na mtoto wako wakiume anaweza mlawiti same apply kwa kike kubakwaMbona wapo wahenga ambao ni watata
Hatuzungumzii single maza,tunazungumzia mama wa kambo asa kuwapa mimba hao na mada hewani vinahusiana niniPole sana mkuu; kwa uliyopitia kwanza
Waswahili wanadai yatima hadeki na kweli hadeki. Tuache kuwapa hawa mama mimba na kuwa acha ili kupunguza tatizo hili, natumai hutakuja mkimbia mwanamke utakayempatia mimba maana kama ni shule tiyari umeipitia vizuri
Mapito tu mkuu0o pole
Mama wa kambo=Mashemeji wa kike.
Wote tabia zao zinafanana, japo sio wote.
TruthMama wa kambo=Mashemeji wa kike.
Wote tabia zao zinafanana, japo sio wote.
Wapo kweli Dada ake ila kizazi sasa hivi kimezidi sana; fuatalia hata matukio ya unyanyasaji watoto wadogo kwa kina mama wakambo ni mengi tu kipindi hiki, na sasa hivi sio kina mama tu hata kina baba wa kambo ni hatari, ukiwa na mtoto wako wakiume anaweza mlawiti same apply kwa kike kubakwa
Hakuna mama mzuri ka mama wa kambo. Jichunguze utakuta kuwa weye ndo ulikuwa mkorofi. Kulialia hovyo. Kujinyea na kujikojolea hivyo hovyo. Mama wa kambo huku akilea mimba zake weye unataka akupakate ka mamako alivyokufanyia.
Acheni kuwatukana bali muwashukuru. Mama wa kambo angekuwazia mabaya weye ungelifikia ulipo leo?? Shilingi ina pande mbili
Kuna wale ambao wanalelewa na ndugu(kaka) sasa kwenye picture anaingia shemeji ndio anaanza tabia za umama wa kambo.Mawifi???
Bora mawifi maana unakuwa ushakuwa mtu mzima mwenye kuweza kufanya maamuzi labda uwe una kaujinga kichwani tu lakini mama wa kambo ni zaidi maana wengi tumelelewa na hao maza tukiwa wadogo hujui namna gani ujihami wala kumkwepa unakuwa hujui,,,