Nimekumbuka miaka ya 1995 kueleakea 2000

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
11,050
Reaction score
31,412
Majira kama haya wakati huo anga lilikua ni kama hivyo!

Sijui ni wapi tumekosea hadi mabadiliko makubwa namna hiyo ya hali ya hewa tunayo yashuhudia sasa!

Hapo kama upo mbali na nyumbani wasiwasi wake sio wa kawaida.
 
Huwa nasema mambo matatu kiongozi anatakiwa kuyapa kipaumbele ni
1.Mazingira
2.Sekta binafsi
3.Elimu.
 
Huwa nasema mambo matatu kiongozi anatakiwa kuyapa kipaumbele ni
1.Mazingira
2.Sekta binafsi
3.Elimu.
Tatizo mazingira ni dunia nzima, kiongozi mmoja akijali utunzaji wa mazingira wengine wanapuuza.
 
Uwezo mdogo wakufikiri kwa viongozi wetu na wananchi wenyewe na exposure ndio tatizo kubwa la mabadiliko katika hali ya tabia ya nchi yetu
 
Tatizo mazingira ni dunia nzima, kiongozi mmoja akijali utunzaji wa mazingira wengine wanapuuza.
Kuna mmoja lazima aanze huwezi kungoja dunia ndio uanze kupanda miti au kuzuia ukataji wa miti hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…