Nimekumbuka nyuzi za ndugu ONTARIO

Nimekumbuka nyuzi za ndugu ONTARIO

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Katika MwanaJF ambae natamani nione nyuzi zake tena ni ndugu ONTARIO. Huyu jamaa nyuzi zake ukizipitia kuna kitu unapata umri wake, uthubutu wake katika kutafuta, kama unapenda maendeleo utahamasika.

Uzi nilioupenda zaidi ni yale mahojiano aliyofanya na Daby alishusha nondo za kutosha kuhusu uthubutu na umuhimu wa kutafuta taarifa sahihi katika ujasiriamali na biashara kwa ujumla. Alikua anachangamsha lile jukwaa Biashara, Uchumi na Ujasiriamali. Siku hizi limepoa hakuna nyuzi ambazo zinaweza leta fukuto JF.
 
Back
Top Bottom