Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,865
- 3,633
Nimezaliwa na kukulia jeshini 601 KJ airbase Ngerengere jeshini ila dingi kauzu sana, nilipofikisha miaka 6-9 dingi alinipeleka na kuniacha singida kijijini saaana nijifunze desturi na mila za kinyaturu.
Ne guenda usempa nyonyi,
Guglya meye
Guthryura diu, gusengeya ng'ombe pende
Ne gudema gugifaghama (mieleka)
So karibuni
wanyaturu na wanyiramba
Na wengine
Ne guenda usempa nyonyi,
Guglya meye
Guthryura diu, gusengeya ng'ombe pende
Ne gudema gugifaghama (mieleka)
So karibuni
wanyaturu na wanyiramba
Na wengine