Nimekunywa haya maji katika kijiji changu, baada ya kumaliza chuo nakuta hali ni ileile!

Nimekunywa haya maji katika kijiji changu, baada ya kumaliza chuo nakuta hali ni ileile!

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Nimemaliza chuo narudi kijijini nakutana na yaleyale, nikaacha kazi na kuingia kwenye tech nikiamini tech itatatua matatizo haya mpaka kilimo, nakutana na tech Ecosystems yenye maneno mengi, nikafeli, nikaamua kurudi kijijini.

20220909_002552.jpg

20220909_002557.jpg


Nikakuta matatizo ni yaleyale, nimekaa vijijini na kushuhudia mateso ya ndugu zangu, kuna muda unakaa peke yako unalia, huna mtaji wala connections, Je nikate tamaa?, nikarudi tena sina excuses zaidi ya kupambana hata ikinilazimu kufa.

Nikachora ramani upya ya kurudi kwenye tech world nikiwa shambani kijijini, lakini nitarudi vipi wakati sina mtaji na nilipigwa hela za grants zaidi ya $25k na developers wa kibongo. Nilikuwa nasali nikimuomba Mungu anipe ishara, and my long time friend akanipigia simu.

20220909_002547.jpg


And I knew from that moment ilikuwa God's plan, tukachora ramani ili tuweze ku_survive lazima tuuze, we started making money from day 1, tukaja na affiliate platform inayoitwa adboxafrica and e learning nayo inaitwa UjuziNetAfrica.

In less than a year, timu ikaanza kukua to 15 dreams team, mazaohub ikapata kazi kwenye kiwanda Cha kwanza East Africa Spirits, then Gaki investment and others, No grants, No investment but tunajimudu mdogo mdogo.

Tukamshawishi startup mwenzetu wa hardware aliyetengeneza hardware ya prepaid water meter kuwa sehemu ya group na kuinunua startup ya victronix , kwaajili ya kuanzisha kitengo Cha IoT . And here we are.

20220909_002503.jpg


Tukamaliza kusajili kampuni nyingine USA inayoitwa adboxafrica as AdBox Digital Inc.

20220909_002536.jpg

IMG_20220909_004647.jpg

Pichani chini ni chumba kidogo Cha IoT department kuna sensors za Kilimo ikiwa ni pamoja na devices za kupima udongo zikiwa integrated na App inayoitwa mazaohub, tumeanza na mkulima wa parachichi.
20220909_002517.jpg
Nakuomba Mh. Hussein Bashe tuangalie kwa jicho lingine, as long as am alive, this thing will shock you.

Pengine wengine wanaweza kudhani tunaomba grants hapana, hii nchi ina matatizo mengi yanayoweza kutatuliwa na vijana kupitia tekinolojia.

Tumejitengenezea ajira wenyewe tunalipwa kutokana na matatizo tunayotatua kwenye Kilimo, maji, viwanda, usafiri, tunaomba ubia na Serikali.

NB; Ujasiri, kujitoa na kujituma kunaweza kukuonyesha kesho yako, angalia tatizo lifanye kuwa fulsa.

Kisa hiki nimekutana nacho kutoka kwa kijana mwenzenu unaweza kumtafuta Tweeter kwa jina la Geophrey Tenganamba.
 
Nimemaliza chuo narudi kijijini nakutana na yaleyale, nikaacha kazi na kuingia kwenye tech nikiamini tech itatatua matatizo haya mpaka kilimo, nakutana na tech Ecosystems yenye maneno mengi, nikafeli, nikaamua kurudi kijijini.
Nafikiri sijaelewa, mnafanya nn hasa? Kwenye maji mnafanya nn. Kilimo mnakifanya nn
Naona usajiri usajiri mara Marekani nk

Sio vibaya ukieleza mnafanya nn hatua kwa hatua sisi nasi ni watu tuwaunge mkono sio bashe tu pekeake.
 
Nafikiri sijaelewa, mnafanya nn hasa ? Kwenye maji mnafanya nn
Kilimo mnakifanya nn
Naona usajiri usajiri mara Marekani nk
Sio vibaya ukieleza mnafanya nn hatua kwa hatua sisi nasi ni watu tuwaunge mkono sio bashe tu pekeake
Yaani nimecheka sababu sioni kama kuna haja ya kufumbua zaidi ya hapo.

Mimi siusiki na hao jamaa ila niliposoma nimewaelewa, unaweza kugundua kitu kwa hiyo mada.

Inshort wanatatua matatizo yaliyopo kwa jamii kujiingizia kipato kama ulivyotaja.
 
NImesoma mwanzo mpaka mwisho nikatoka kapa Mara maji Safi Mara treatment ya maji Mara lambo Mara kilimo Mara ofisini Mara sijui maonyesho sijaelewa..habari hii inabidi niisome Tena taratibu
Hivi katika paragraph ya 1,2 na 3 umekosa kuelewa au umerukaruka kuja mwisho ili u_reply?
 
NImesoma mwanzo mpaka mwisho nikatoka kapa Mara maji Safi Mara treatment ya maji Mara lambo Mara kilimo Mara ofisini Mara sijui maonyesho sijaelewa..habari hii inabidi niisome Tena taratibu
Wamerundika sentensi nyingi zisizo.na ufafanuzi mahili

Wanaonyesha wana vitu vichwani mwao ila kujieleza sifuri

Mimi mwenyewe nimetoka kapa kujua wanafanya nini hasa
 
Sijajua tatizo ni alieandka au alieileta hapa, story imechanganywa changanywa sn. Kuunganisha dots utulie kweli kweli!
Mkuu hii story nimeikopi tweeter nikahariri tofauti na ilivyo so very sorry for any mistakes.
 
Nikachora ramani upya ya kurudi kwenye tech world nikiwa shambani kijijini, lakini nitarudi vipi wakati sina mtaji na nilipigwa hela za grants zaidi ya $25k na developers wa kibongo
Hapo alipigwa takriban Tsh 60m🙄
Wabongo wanatisha
 
Back
Top Bottom