Kumbe wakina Rooney wanakunjwa maji sanaHabari wana JF,
Tangia niskie kuwa maji yanakufanya uwe mweupe hata kumzidi Rooney nimeanza kwa kunywa kama litre 3 kwa siku lakini wapi.
Naomba msaada kuhusu hili maana hata simkaribii Vicente Kigosi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wakina Rooney wanakunjwa maji sanaHabari wana JF,
Tangia niskie kuwa maji yanakufanya uwe mweupe hata kumzidi Rooney nimeanza kwa kunywa kama litre 3 kwa siku lakini wapi.
Naomba msaada kuhusu hili maana hata simkaribii Vicente Kigosi.
Kwani kambare anakunywa maji...yeye anaishi baharini tuu!
!
Kimsingi kambale asingekuwa mweusi
Yaani hufurahii jinsi ulivyoumbwa unataka uwe vinginevyo?Habari wana JF,
Tangia niskie kuwa maji yanakufanya uwe mweupe hata kumzidi Rooney nimeanza kwa kunywa kama litre 3 kwa siku lakini wapi.
Naomba msaada kuhusu hili maana hata simkaribii Vicente Kigosi.
!Kwani kambare anakunywa maji...yeye anaishi baharini tuu