babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hahaha Ni zenyewe.😂 sijui kwanini namimi nimewaza ni mbupu hizo
Kama aamini ayaweke chini alafu ayakanyage 😂Hahaha Ni zenyewe.
Mlio ni Twaas.Kama aamini ayaweke chini alafu ayakanyage 😂
Na ndio tayari atakua kashayapasua yake.Mlio ni Twaas.
Hahahaha.
Ni kwa ajili ya kung'arisha mabuti.You don't have to worry much about it!Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, wakati napanga vitu vitu ndani,kwenye mkoba wa Mke wangu nimekuta vipande viwili ya mawe kwenye mkoba wake.
MWENYE UELEWA, NAOMBA ANISAIDIE HII
View attachment 3148727
😂😂😂🤣kakuta mawe akati kuna zaidi ya ayo shida mna roho mbaya ba
Babe unanikoseaa😂😂Nooo wanaume in general 😍😍🤣
😂😂😂😂kwanza si Upo busy ww subir nikukaange utembee uko mpk uku kwa mguuBabe unanikoseaa😂😂
Hizo ni kende zako. Kakuhifadhi tuKama Kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, wakati napanga vitu vitu ndani,kwenye mkoba wa Mke wangu nimekuta vipande viwili ya mawe kwenye mkoba wake.
MWENYE UELEWA, NAOMBA ANISAIDIE HII
View attachment 3148727