Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moto wake ni mkali, ukitumia haya masufuria ya ovyo yatatoboka tuNilisikia yanatoboa sufuria,wakazi wa Njombe huwa wanasema.
yana moshi mwingi wenye harufu, ni kama umechoma tairi la gari,labda mpaka yawe processed kwa kupunguzwa carbonWazo langu ni kuja kujenga nyumba yenye fireplace na kutumia makaa ya mawe kama source ya joto. Je nitakuwa nakosea? Kiafya je ikoje?
sizAn kama ni kweliyanafanya kazi fresh tu...unachukua mkaa wa kawaida ukiwaka unamix na vipande vichache vya makaa ya mawe...aisee moto hauishi
Wataalamu wameshaanza kukueleza yanatoa kaboni monoksaidi kwa wingi, sasa hiyo fireplace utakuwa unaicha ikiwaka au unauzima? Utakuwa unauzimaje, na maji au utakuwa unafunga kuunyima oksijeni?Wazo langu ni kuja kujenga nyumba yenye fireplace na kutumia makaa ya mawe kama source ya joto. Je nitakuwa nakosea? Kiafya je ikoje?
umewahi jaribu au basi tu.....m nshajaribusizAn kama ni kweli
sio kujaribu tu nimeweka store kama peto sita hivi lakini mbinu hiyo hayajawahi kuwakaumewahi jaribu au basi tu.....m nshajaribu
basi hayo yako ni makaa ya chuma😁😁😁😁😁sio kujaribu tu nimeweka store kama peto sita hivi lakini mbinu hiyo hayajawahi kuwaka