Nimekuta SMS kibao za my guy anachat na other girls tena za kimapenzi, nikachoma moto nguo zake

Akirudi na yeye mchome moto azifuate nguo zake anazozipenda.
 
Mmekimbia kijiweni km lisaa limepita, vipi mmefikia wapi?? Naona mnaanza kupanga kufanya mchezo mbaya 🀣🀣🀣🀣
Me najulia wapi wewe ndo kungwi lao
Wee ni kungwi nyakangaa mmoja matraaatraaa sanaaaa! Hakiii mumeo hawezi hangaika kuchatishwa na vimbugila mbugila udugu!
 
Yaani sijaelewa chochote
Fasihi kali sana imetumika humo.
Ni kwamba kuna dem nlikua naye akakuta mazungumzo yangu na mama mtoto wangu akafanya ya kufanya mwisho kassurender
 
Mods hawachelewi kuedit title..."β€Šnimekuta sms za my guy......"🀠!
 
Kwani ulikagua ili ugundie nn,mnapataga wapi muda wa kukagua simu za vijana wenu Lkn?
 
wacha we!
 
Halafu huyu atakuwa kimbaumbau huyu ndyo mambo yao..roho mbaya kumchomea mwenzio nguo
Hujakosea hata kidogo. Hata mimi nilisema hivyo hivyo. Vimbaumbau kwa gubu, kisirani, wivu na mtiti ndo vyenyewe (japo siyo vyote!) πŸ˜πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ

 
Nguo zilivyopanda bei hivyo we unachoma tu
Nguo za wakaka unajua bei yake???
Hapo ukute hujawahi kumnunulia hata boxer.....my guy ya nyoko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] embu mwambieni
 
Wee kigi vyeti ndio nini kwa mfano! Wenyewe wanaliaa[emoji1783]!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu hana hati miliki juu ya mwenzie mara ashaanza kuchoma choma nguo, wengine wanapasua tv eti

Hivi bastola zinauzwa wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…