goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Wakuu habari za mchana
Leo nimekumbuka kisa kimoja hivi wakati wa kutafuta ajira za Serikali ilikuwa mwaka 2019 pale Tanga mjini katika interview za TANESCO Kanda ya Kaskazini .
Mimi niliweza kufaulu mtihani wa written ila boss wangu alifeli vibaya sana ule mtihani na kupelekea yeye kushindwa kwenda kwa hatua zinazofata ya oral.
Boss wangu yule ndie aliyenifanyia figusu kazini hadi kuondolewa kazini, ilikuwa ni kampuni kubwa ya mikopo kipindi hicho 2012.
Aliweza kutumia ugeni wangu ktk Kazi kwa kujichukulia mikopo kiujanjajanja na kupelekea watu wengi kufukuzwa kazi na yeye kuendelea kuwepo.
Nilivyomuonesha namba yangu ya mtihani alishanga sana kwa alama nilizozipata ktk mtihani ule ambao yeye alishindwa kufika hata c, akaniomba nimpe review ya maswal ili akiitwa tena awe amejipanga.
Maisha ni mzunguko sijui aliko ila nasikiaga ana bahati na kazi sana.
Leo nimekumbuka kisa kimoja hivi wakati wa kutafuta ajira za Serikali ilikuwa mwaka 2019 pale Tanga mjini katika interview za TANESCO Kanda ya Kaskazini .
Mimi niliweza kufaulu mtihani wa written ila boss wangu alifeli vibaya sana ule mtihani na kupelekea yeye kushindwa kwenda kwa hatua zinazofata ya oral.
Boss wangu yule ndie aliyenifanyia figusu kazini hadi kuondolewa kazini, ilikuwa ni kampuni kubwa ya mikopo kipindi hicho 2012.
Aliweza kutumia ugeni wangu ktk Kazi kwa kujichukulia mikopo kiujanjajanja na kupelekea watu wengi kufukuzwa kazi na yeye kuendelea kuwepo.
Nilivyomuonesha namba yangu ya mtihani alishanga sana kwa alama nilizozipata ktk mtihani ule ambao yeye alishindwa kufika hata c, akaniomba nimpe review ya maswal ili akiitwa tena awe amejipanga.
Maisha ni mzunguko sijui aliko ila nasikiaga ana bahati na kazi sana.