kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,539
huyu atakua sio engineer ni wale vijana wa veta wanatembeaga na yale magari ya emergency kazi zao kukata matawi ya miti na kuregebisha faults ndogo ndogoKwa jinsi ya uandishi wako huu, unataka kutuamisha kwamba ulifaulu kweli?