huyu atakua sio engineer ni wale vijana wa veta wanatembeaga na yale magari ya emergency kazi zao kukata matawi ya miti na kuregebisha faults ndogo ndogoKwa jinsi ya uandishi wako huu, unataka kutuamisha kwamba ulifaulu kweli?
Sio Langai ni Landanai inaonekana hata huko kulima haujui. Landanai inatokana na ule mlima Landanai.Hiyo ilikuwa June 2019 boss. Na baada ya hapo nilirudi moja kwa moja shambani Langai, Orkesmet.View attachment 2093972
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama hata mwandiko wa @goroko Anafaulu kwenye interview nyie ambao huwa mnafeli huwa inakuaje kuaje
Wewe mjuaji sana sio? Baki hapo hapo basi.Sio Langai ni Landanai inaonekana hata huko kulima haujui. Landanai inatokana na ule mlima Landanai.
Mkuu Mbowe sio gaidiBabu kukosea kutype tu bas imekuwa hatuna akili .kak so wote walisoma hkl na hgk hgl hapan babu heshimu tahaluma zingine ambazo hazitaki blah blah
Au Ni wew umefeli written ile ??
"Boss wangu yule ndie aliyenifanyia figusu kazini hadi kuondolewa kazini, ilikuwa ni kampuni kubwa ya mikopo kipindi hicho 2012.huyu atakua sio engineer ni wale vijana wa veta wanatembeaga na yale magari ya emergency kazi zao kukata matawi ya miti na kuregebisha faults ndogo ndogo
Wewe huna tofauti na fundi seremala bwana jeradi wa pale kisarika Tabora..alinitapeli pesa eti ananitengenezea showcase mwisho wa siku ananiletea banda la njiwa..hivi showcase na banda la njiwa vinafanana?[emoji23]
Huo ndio upumbavu wewe Sasa,eti ipo siku atakushika mkono.It's good kama haukumuonesha kinyongo na kumsaidia alipohitaji msaada kwenye hiyo interview..maisha ni mzunguko ipo siku atakushika mkono tena
Yeah kupigika kawaida,mi pia niliwahi kuwa boss sehem na baadae nikapigika mbaya kabisa hadi ndugu wanakuchora. Ndo life lilivo na Mungu huwa anakusimamisha tenaNakushukuru mkuu mm sijamuonesha hila niliona kapigika kweli kweli
Orke .....what! Mkuu Chaliifrancisco unalima ngano?Hiyo ilikuwa June 2019 boss. Na baada ya hapo nilirudi moja kwa moja shambani Langai, Orkesmet.View attachment 2093972
Orkesmet. Mahindi, maharage na alzeti ndio mazao makuu yanayolimwa kanda hiyo.Orke .....what! Mkuu Chaliifrancisco unalima ngano?
fundi umeme na kubadilisha bulb zikiungua"Boss wangu yule ndie aliyenifanyia figusu kazini hadi kuondolewa kazini, ilikuwa ni kampuni kubwa ya mikopo kipindi hicho 2012.
Aliweza kutumia ugeni wangu ktk Kazi kwa kujichukulia mikopo kiujanjajanja na kupelekea watu wengi kufukuzwa kazi na yeye kuendelea kuwepo."
ALIVYOSEMA ALIKUWA KWENYE KAMPUNI KUBWA YA MIKOPO NIKAJUA NI MUHASIBU KUMBE NI ENGINEER AISEEE.