Nimekutana na binadamu wa ajabu leo


I say, ulikutana na mimi nikashangaa sana ulivyonikimbia! Hata mie nilikuwa nawasimulia wenzangu kwamba nimekutana na binadamu sijui kwa nini kaniogopa akanikimbia kama kaingiliwa kidogo agongwe na gari!

Tuonane tena kesho basi, pita njia ile ile saa zile zile tufahamiane vizuri!
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bangi za ukubwani ni noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…