Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Unafuatiliwa kwa ukaribu mno huo uziHatari sana, uzi unapepea tu uko page ya 10,000 sahiviš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafuatiliwa kwa ukaribu mno huo uziHatari sana, uzi unapepea tu uko page ya 10,000 sahiviš
Uzi unapaa mnošUnafuatiliwa kwa ukaribu mno huo uzi
Kwa kasi ya 6GUzi unapaa mnoš
š¤£Jesusš¤£š¤£š¤£š¤£
Hee tupo wengi tu, mimi hadi huwa natembea kwa miguu nikikosa jero la nauliHivi kuna wana JF wanapanda daladala? manaana najua kila mwana JF ana Big house, ownride, kazi nzuri nk.
ndo leo nasikia mwana jF anapanda daladala [emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah, mimi ndo mwanajf wa ovyo sana, humu hapanistahili kwa kweli:Hivi kuna wana JF wanapanda daladala? manaana najua kila mwana JF ana Big house, ownride, kazi nzuri nk.
ndo leo nasikia mwana jF anapanda daladala [emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
šššmbona mimi ninapanda hadi baskeli nduguā¦Hivi kuna wana JF wanapanda daladala? manaana najua kila mwana JF ana Big house, ownride, kazi nzuri nk.
ndo leo nasikia mwana jF anapanda daladala [emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee [emoji29]Wew muongo muongo sana hpn let me igore your post
WvuuJukwaa la watoto....
HahahaJukwaa la watoto....
Kama kwenye basi ndo hivi, je ukimpata si utataja na jina, umewaka ndege ameshapeperukašš