Nimekutana na binti mrembo sikutegemea awe anakaa Mbagala

Wacha kubabaika mkuu. Banda moja, kuku ladha tofauti.. jilie bila kuwaza man
 
mbezi beach, masaki, survey, mikocheni
Mbadilishe location awe demu wa Mbezi Beach, Masaki, survey au Mikocheni, simple jitutumue mbaba mchukulie apartment hayo maeneo uyapendayo!!!😂😂😂
 
Kuna mbagala kijichi dogo..ebu muulize tena mbagala ipi?

#MaendeleoHayanaChama
Kijichi sio Mbagala kaka.
Hii ni Mtoni Kijichi.
Na pia Mtoni ni kata kama kata nyingine tu na tuna mpango wa kuungana na Mtoni kwa Aziz Ally [emoji2957]
 
We ni mkaidi sana aisee
Kwa hyo na Mtoni kwa Aziz Ally pia ni Mbagala au?
 
Kuna Mbagala kijichi ni zaidi ya Mbezi Beach
 
Mbadilishe location awe demu wa Mbezi Beach, Masaki, survey au Mikocheni, simple jitutumue mbaba mchukulie apartment hayo maeneo uyapendayo!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisaaa yaan lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…