Haswaaaah yaan full udambwi udambwi yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Proud Mbagala Zackiem's resident, kama kuishi masaki na mbezi beach kunaongeza mvuto wa papuchi sawa, sisi tunajivunia mbagala yetu, kugombania daladala na kuingilia madirishani raha[emoji23]
Heka mbolimboli, kotoka kujitundila makocho... AHahahahahaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niheki hadi maholi gihuma,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo cha nikubuna makofi.Heka mbolimboli, kotoka kujitundila makocho... AHahahahahaa
[emoji23][emoji23]Nimekutana na hiyo pisi jana, kwanza imefika iko hoi inanuka jasho balaaa aiseee mpaka nikaona aibu [emoji28][emoji28][emoji28]
Pumba..Voo!Mimi nilishasema mpaka wangu ni morogoro road ule upande wapili wa kuelekea sijui external, tabata sijui temeke, mbagala siwezi kaa hata bure
Pumba..Voo!
Tabata unyamwezini usifananishe na Mbagala kabisa. Nahisi hujawahi fika Tabata wewe. Maeneo mengi yalipimwa kwahio nyumba ziko kwenye blocks kama uzunguni tu!
Uswahilini kushaisha sikuhizi hamna wazaramo kabisa kama ilivyokuwa miaka ya 90 ile.
Iyo Ghafula itakuwa unaishi yombo wew[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna mambwiga washamba sana.
Kukaa mbagala ni tatizo?
Kwani mbususu inaweka google map ya Mbagala?
Nyie ndo vile vijanaume vivaa kaputula tu,
jembe halichagui mkulima.
Wenzio tushagonga Mbagala mpk Masaki,mbezi kituo kwa kituo huko mpk tunastaafu we unatafta mtu anatoka wapi kwani unatafuta kazi?
Bwege sana
Watu wa daslam na nyie mnabaguana?si mpo jijini wote?Ndugu zangu mambo vipi.
Kitambo kidogo ila nigga nipo na hustle zinaendelea kama kawaida sasa katika pitapita zangu nilikutana na hii pisi asee ina trakoooo hatari afu nyeupe huu ndo ugonjwa wangu.
Kama kawaida nikaomba namba freshy zikapita kama siku2 sasa jana nikaikumbuka nikaipandia kwa air. Tukapigq story sana sana yani kwa muda mchache tulishatengeneza chemistry nzuri sana.
Nilimwuliza unaishi wapi jibu lake ndo liliniacha hoi ikabid nivute pumzi kwanza. Alinambia naishi mbagala yaani daah hapa ndo mzuka ulikata ghafula. Nilitegemea yule mrembo angenambia anakaa mbezi beach, masaki, survey, mikocheni kutokana na alivo. Yaani pisi za huko sijui magomeni, kigogo sijui tandika yaani daah huwa siwaelewi kabisa.
Amenitext leo asbh hata sijajibu kwakweli mnaotoka na pisi za hayo maeneo nipeni experience zenu.
Tutake radhi tafadhali...Ndugu zangu mambo vipi.
Kitambo kidogo ila nigga nipo na hustle zinaendelea kama kawaida sasa katika pitapita zangu nilikutana na hii pisi asee ina trakoooo hatari afu nyeupe huu ndo ugonjwa wangu.
Kama kawaida nikaomba namba freshy zikapita kama siku2 sasa jana nikaikumbuka nikaipandia kwa air. Tukapigq story sana sana yani kwa muda mchache tulishatengeneza chemistry nzuri sana.
Nilimwuliza unaishi wapi jibu lake ndo liliniacha hoi ikabid nivute pumzi kwanza. Alinambia naishi mbagala yaani daah hapa ndo mzuka ulikata ghafula. Nilitegemea yule mrembo angenambia anakaa mbezi beach, masaki, survey, mikocheni kutokana na alivo. Yaani pisi za huko sijui magomeni, kigogo sijui tandika yaani daah huwa siwaelewi kabisa.
Amenitext leo asbh hata sijajibu kwakweli mnaotoka na pisi za hayo maeneo nipeni experience zenu.
Watu wa daslam na nyie mnabaguana?si mpo jijini wote?
Ila sishangai maana wengi mnapenda kujiweka class flani za juu juu,ila ukija kwenye real life hamna kitu