Nimekutana na binti mrembo sikutegemea awe anakaa Mbagala

Nimekutana na binti mrembo sikutegemea awe anakaa Mbagala

Proud Mbagala Zackiem's resident, kama kuishi masaki na mbezi beach kunaongeza mvuto wa papuchi sawa, sisi tunajivunia mbagala yetu, kugombania daladala na kuingilia madirishani raha[emoji23]
Haswaaaah yaan full udambwi udambwi yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wambagialaaa

Sukari hadi ya shilingi 100 unapata nasikiaga [emoji3][emoji3]
 
Mimi nilishasema mpaka wangu ni morogoro road ule upande wapili wa kuelekea sijui external, tabata sijui temeke, mbagala siwezi kaa hata bure
Pumba..Voo!

Tabata unyamwezini usifananishe na Mbagala kabisa. Nahisi hujawahi fika Tabata wewe. Maeneo mengi yalipimwa kwahio nyumba ziko kwenye blocks kama uzunguni tu!

Uswahilini kushaisha sikuhizi hamna wazaramo kabisa kama ilivyokuwa miaka ya 90 ile.
 
Iyo Ghafula itakuwa unaishi yombo wew[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna mambwiga washamba sana.
Kukaa mbagala ni tatizo?
Kwani mbususu inaweka google map ya Mbagala?
Nyie ndo vile vijanaume vivaa kaputula tu,
jembe halichagui mkulima.
Wenzio tushagonga Mbagala mpk Masaki,mbezi kituo kwa kituo huko mpk tunastaafu we unatafta mtu anatoka wapi kwani unatafuta kazi?
Bwege sana
 
Pumba..Voo!

Tabata unyamwezini usifananishe na Mbagala kabisa. Nahisi hujawahi fika Tabata wewe. Maeneo mengi yalipimwa kwahio nyumba ziko kwenye blocks kama uzunguni tu!

Uswahilini kushaisha sikuhizi hamna wazaramo kabisa kama ilivyokuwa miaka ya 90 ile.

Tbt ipo vzr
 
Kuna mambwiga washamba sana.
Kukaa mbagala ni tatizo?
Kwani mbususu inaweka google map ya Mbagala?
Nyie ndo vile vijanaume vivaa kaputula tu,
jembe halichagui mkulima.
Wenzio tushagonga Mbagala mpk Masaki,mbezi kituo kwa kituo huko mpk tunastaafu we unatafta mtu anatoka wapi kwani unatafuta kazi?
Bwege sana

Sasa tumeanza kupangiana?
 
Ndugu zangu mambo vipi.

Kitambo kidogo ila nigga nipo na hustle zinaendelea kama kawaida sasa katika pitapita zangu nilikutana na hii pisi asee ina trakoooo hatari afu nyeupe huu ndo ugonjwa wangu.

Kama kawaida nikaomba namba freshy zikapita kama siku2 sasa jana nikaikumbuka nikaipandia kwa air. Tukapigq story sana sana yani kwa muda mchache tulishatengeneza chemistry nzuri sana.

Nilimwuliza unaishi wapi jibu lake ndo liliniacha hoi ikabid nivute pumzi kwanza. Alinambia naishi mbagala yaani daah hapa ndo mzuka ulikata ghafula. Nilitegemea yule mrembo angenambia anakaa mbezi beach, masaki, survey, mikocheni kutokana na alivo. Yaani pisi za huko sijui magomeni, kigogo sijui tandika yaani daah huwa siwaelewi kabisa.

Amenitext leo asbh hata sijajibu kwakweli mnaotoka na pisi za hayo maeneo nipeni experience zenu.
Watu wa daslam na nyie mnabaguana?si mpo jijini wote?

Ila sishangai maana wengi mnapenda kujiweka class flani za juu juu,ila ukija kwenye real life hamna kitu
 
Ndugu zangu mambo vipi.

Kitambo kidogo ila nigga nipo na hustle zinaendelea kama kawaida sasa katika pitapita zangu nilikutana na hii pisi asee ina trakoooo hatari afu nyeupe huu ndo ugonjwa wangu.

Kama kawaida nikaomba namba freshy zikapita kama siku2 sasa jana nikaikumbuka nikaipandia kwa air. Tukapigq story sana sana yani kwa muda mchache tulishatengeneza chemistry nzuri sana.

Nilimwuliza unaishi wapi jibu lake ndo liliniacha hoi ikabid nivute pumzi kwanza. Alinambia naishi mbagala yaani daah hapa ndo mzuka ulikata ghafula. Nilitegemea yule mrembo angenambia anakaa mbezi beach, masaki, survey, mikocheni kutokana na alivo. Yaani pisi za huko sijui magomeni, kigogo sijui tandika yaani daah huwa siwaelewi kabisa.

Amenitext leo asbh hata sijajibu kwakweli mnaotoka na pisi za hayo maeneo nipeni experience zenu.
Tutake radhi tafadhali...
 
Back
Top Bottom