BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,195
- 1,346
nipe namba yake ya simuWakuu leo asubuhi nimekutana na mwanamke kavaa baibui jeusi, cha ajabu ana jino moja, hana ulimi, miguuni ana kwato kama ngombe,alikua kabeba kikapu kilichojaa vichwa vya BUNDI.
Nimeogopa sana. SHIKAMOOO JIIINI
Jini ndo nini?mkuu unasema masihara tena?
hio ndo hasara ya Bangi za uzeeni