wakuu muda nipo maeneo ya mikumi naenda dar, ila nilipofika katikati ya mbuga nilikutana na kiumbe cha ajabu yaani ni twiga mwenye kichwa cha binadamu, ana jicho moja, ana miguu ya simba na alikua kashika simu smartfone galaxy, wakuu imebidi nirudi ruaha mbuyuni kulala mpaka kesho nitaanza safari upya.SALA ZENU WAKUU